Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Wewe ndio umeanzisha mada huyo ni just in case ikitokea atakusimulia wewe ambae una 25M achia majina matatu upewe unachotaka
Wajinga wakubwa nyie.
Kama hamuwez kutafuta hayo majina kwa tunguri mnaweza nin sasa?
Majina majina.
Majina my foot.
Kojoa ulaze hiyo empty head
 
kuwa wewe ni mchawi idara ya viungo 😂😂
Hakuna sehemu nimesema kazi hii itafanywa na Mimi, kwa hio usiseme Mimi ndio mchawi hapo naomba uniombe radhi kidogo ila watendaji wa kazi nawajua na humu wapo

Iblis Bin Shetan kanipa majina matatu ya kwake na ya mama yake

Jina lake: ALBERT JAMES MAZIGAWA
Jina la Mama yake: ANNA PETER KIMARO

Kwa hio wazee wa Nyanga changamkeni mtoe funzo kwa kijana huyo hapo nimewawekea
 
Kwa picha sio wewe,uko wapi nipe PICHU yako live ufe faster,huku kuzimu kafara inahitajika,ikikupendeza njoo PM wakusahau jf. Nikutoe sadaka kama mbadala wangu.
Mrejesho nitatoa mimi mwenyewe jf. Toa wosia kabisa nani atarithi madeni yako,mke,michepuko na kodi ya nyumba.
😂😂😂
Mrithi wa madeni yangu atakua babu yako
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao[emoji23]

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Mkuu usidharau Sana upo uchawi Hadi simoni kwenye bibilia nae alikuwa anafanya uchawi snaa

Kaak kwa kutuliaa mzeee
 
watu wanapigwa na maisha wanasingizia uchwai [emoji23]
Mm niko mbali sana ila jamaa ningempeleka sehemu akafunzwe tu kidogo ajue mauza uza yapo mwezi wa sita naelekea somewhere jamaa akipata wasaa atume number zake pm nitamtafuta atagharamika vifaa tiba, gharama za usafiri na atamlipa mfanyaji basi na hiyo 25 milioni akasaidie yatima.

Mtu kama huyu atishwe tu usiku basi nyege zake zote zitaisha kuhusu uchawi. [emoji23][emoji23][emoji28]
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Mkuu now days unavaa sketi?????? Au ndio usharogwa tayari???
 
Hakuna sehemu nimesema kazi hii itafanywa na Mimi, kwa hio usiseme Mimi ndio mchawi hapo naomba uniombe radhi kidogo ila watendaji wa kazi nawajua na humu wapo

Iblis Bin Shetan kanipa majina matatu ya kwake na ya mama yake

Jina lake: ALBERT JAMES MAZIGAWA
Jina la Mama yake: ANNA PETER KIMARO

Kwa hio wazee wa Nyanga changamkeni mtoe funzo kwa kijana huyo hapo nimewawekea
sasa huo sio ustarabu msenge mkubwa
 
Anasikia tu hadithi ila anajifanya keshafika ginimbi,🤣
watu ni wajinga yani wana shindwa kuthibitisha imani yao wanayo amini. utasikia kuwa eti waliona mtu kadondoka na ungo na sio kumuona mtu kapaa na ungo, mara sijui fisi ana irizi anafugwa kwani fisi kufugwa ndo uchawi.

Africa tuna safari ndefu sana vichwa vyetu vina beba mambo ya kipuuzi sana, makanisa uchwara na waganga wapuuzi kila siku wana tapeli maboya eti wana nguvu za asili, upumbavu sana.Watu wa dizain hii wana paswa wafe kwa faida ya bara.

Kunq siku nimepita makburini asubui nakuta njiani kuna nazi zime pasuliwa katikati ya njia na mairizi pembeni eti watu wakawa wanaogopa kuvuka 😂 me niliya piga mateke hayo maupuuzi na sijawa kitu mpka sahizi.
 
Huo ndio uchawi wenyewe sasa, au ulikua haujui uchawi ni Nini ?
Akili huna ww umesema nikupe majina yangu matatu na mama kwanini uyatume humu mm siogopi hakuna binadamu anaenda chooni kunya kuweza kuniroga hayupo kama ulikuwa huwezi usingeanika hadharani kima mmoj undhani kuroga matako yako kila mtu anayo 🤣 🤣
 
Back
Top Bottom