Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Weka jina lako hapa,anuani yako unapoishi,yaani mtaa. Weka picha yako hapa.
 
watu ni wajinga yani wana shindwa kuthibitisha imani yao wanayo amini. utasikia kuwa eti waliona mtu kadondoka na ungo na sio kumuona mtu kapaa na ungo, mara sijui fisi ana irizi anafugwa kwani fisi kufugwa ndo uchawi.

Africa tuna safari ndefu sana vichwa vyetu vina beba mambo ya kipuuzi sana, makanisa uchwara na waganga wapuuzi kila siku wana tapeli maboya eti wana nguvu za asili, upumbavu sana.Watu wa dizain hii wana paswa wafe kwa faida ya bara.

Kunq siku nimepita makburini asubui nakuta njiani kuna nazi zime pasuliwa katikati ya njia na mairizi pembeni eti watu wakawa wanaogopa kuvuka 😂 me niliya piga mateke hayo maupuuzi na sijawa kitu mpka sahizi.
Yaani sio mzaha hizi imani zinatudumaza sana mkuu.
Watu kibao washakufa kwa kupelekwa kwa waganga badala ya hospital.

Kwa mfano bundi waafrika wanamuhusisha na uchawi ila kwa vile bundi akilia katibu ya nyumba yenye mgonjwa huyo mgonjwa lazima afe.
Wazungu kwa vile wana akili wakajiuliza why bundi akilia mgonjwa anakufa,wakapata jibu kuwa bundi anasense harufu ya mzoga hata ukiwa ndio unaanza kuoza.So mgonjwa akiwa mahututi cell zinakufa akiwa bado hai ila bundi ana anasikia harufu ya yule mtu kama ya mzoga na anakua anaruka ruka karibu ya nyumba yenye huyo mtu na kawaida huyo mtu atakufa baada ya siku chache.
Waafrika sisi kwa upoyoyo wetu tukajiambia eti anakua bundi katumwa na wachawi.
Yaani hatutaki kujichosha akili.
Sisi ni ngono na uchawi ndo vitu vimejaa kwenye mabichwa yetu
 
Kald katoto kangu kalikoua nyoka bado nakapenda sana.

please dont endanger your life like this

we still need to raise our kids together😜😜
We will jirani😂
Nothing will happen to me🤣
 
Yaani wewe ni mjinga sana.
Kwanin umefanya hivi?
Ndo mana nilikua sitak kuwapa majina yangu sbb najua nyie hamna akili nzuri.
Umekosea sana
Wewe umesema na kuhoji usichokijua hivi unajua uchawi ni Nini ? Au umeandika kufurahisha umati wa JF ilihali haujui unachokiongelea, nilichokifanya ni sehemu ndogo tu ya kukuchachafya na kumchachafya mtu yeyoto anaependa cheap popularity kwa vitu ambavyo havijui, na wewe ningekuanika ndio ujue uchawi ni Nini

Siku hizi wachawi sio wazee utarogwa uanikwe humu aanikwe na mama yako alafu mpikwe
 
Yaani sio mzaha hizi imani zinatudumaza sana mkuu.
Watu kibao washakufa kwa kupelekwa kwa waganga badala ya hospital.

Kwa mfano bundi waafrika wanamuhusisha na uchawi ila kwa vile bundi akilia katibu ya nyumba yenye mgonjwa huyo mgonjwa lazima afe.
Wazungu kwa vile wana akili wakajiuliza why bundi akilia mgonjwa anakufa,wakapata jibu kuwa bundi anasense harufu ya mzoga hata ukiwa ndio unaanza kuoza.So mgonjwa akiwa mahututi cell zinakufa akiwa bado hai ila bundi ana anasikia harufu ya yule mtu kama ya mzoga na anakua anaruka ruka karibu ya nyumba yenye huyo mtu na kawaida huyo mtu atakufa baada ya siku chache.
Waafrika sisi kwa upoyoyo wetu tukajiambia eti anakua bundi katumwa na wachawi.
Yaani hatutaki kujichosha akili.
Sisi ni ngono na uchawi ndo vitu vimejaa kwenye mabichwa yetu
na uhakika asilimia mia hakuna mtu humu jf amemuona mtu ana paa na ungo 😂😂
 
Back
Top Bottom