Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

😂😂😂😂
Wakija nikawaona kweli nitaogopa ila uzuri hawana uwezo huo wa kuja nyumban kwangu
Dear hii tasnia ni nzito sana. Hebu ondoa hio picha yako inaweza kukuletea madhara makubwa sana.

Naongea vitu ambavyo REAL, this world is full of mysterious things
 
Kwa picha sio wewe,uko wapi nipe PICHU yako live ufe faster,huku kuzimu kafara inahitajika,ikikupendeza njoo PM wakusahau jf. Nikutoe sadaka kama mbadala wangu.
Mrejesho nitatoa mimi mwenyewe jf. Toa wosia kabisa nani atarithi madeni yako,mke,michepuko na kodi ya nyumba.
 
Back
Top Bottom