Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Aiseh hilo gauni la mapanga shaaaaa๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Alongwe nani. Acha Imani potofu. Nenda kapime afya ya kichwa
Imani potofu unaijua ww, kama huamini mambo za uchawi na kulogwa why unawekeza nguvu zako kupinga. Ipo na inatenda ndo maana umeshupaza mishipa ya fahamu kuipinga.
 
jirani... my love to you is deep like an ocean

Kwanza picha yako tu na hicho kijungu behind umenipagawisha mno๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ
Thank God shem wako hawezi ona hii maana๐Ÿค”
 
Huyu mimi nilitaka kushughulika nae ila sasa kaoogaa kanabwabwaja tuu hapa alete majina tumkamue๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ๐Ÿคฃkuna mavitu yanamsubiri huku maana hayajanyonya damu muda sasa.
huna lolote
 
Ambaye hawezi na hataki kujibizana hukaa kimya kimaandishi na kimatamshi.
Unavailable huwezi kujibizana but still unaandika upupu wako hapa.
Tulia watu wakuloge mkuu ili siku nyingine uwe na heshma na uwe na adabu
Huyu bila kumloga hawezi acha dharau.
Mpige kitu ashike adabu mkuu๐Ÿคฃ
 
Hakuna uchawi ndiyo maana napinga na pia nakusaidia wewe utoke kwenye Imani potofu. Yaani zinduka na uwahi kitengo Cha wagonjwa wa akili
Bila shaka wewe ni mpangani?
Maana wanaopinga hizi mambo ni wapagani pekee ila watu wanaoijua dini huupinga uchawi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ