Baba Ndubwi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 1,223
- 1,992
Kagoma kutoa majina yake kamili,we unadhani hajui anajua vyema tuu na ndio maana hataki kutoa ushirikianoHuyu bila kumloga hawezi acha dharau.
Mpige kitu ashike adabu mkuu🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kagoma kutoa majina yake kamili,we unadhani hajui anajua vyema tuu na ndio maana hataki kutoa ushirikianoHuyu bila kumloga hawezi acha dharau.
Mpige kitu ashike adabu mkuu🤣
Acha kupanic, mimi nishasema na wadau wenye uelewa wa masuala ya mambo washaomba wagalatia kama ww muandike majina yenu hamuandiki mnabwabwaja tuu. Wekeni majina hapa mstaajabishwe.Inatenda my foot.
Mloge basi.
Nipe majina yako mkuu na la mama mzazi,pleasehuna lolote
Hii challenge ya kumtaka mtu aniloge niliitoa miaka mingi, nikatoa dau zuri tu, lakini mpaka leo hakuna aliyefanikiwa.Hello Africans.
Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.
Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.
Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo. Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).
Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari. Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu. Albino, Vipara, wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.
Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason. Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga. Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.
Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa, basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.
Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.
Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"
Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka. Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.
Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi. Mnadanganywa tu.
UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi. Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.
Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.
Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni. Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona. Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂
Haya kazi kwenu.
NILOGENI
UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga. Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama ng'ombe vyovyote.
View attachment 2615624
Sasa mtu akiweka jina hata majambazi unaweza kumtumia.Acha kupanic, mimi nishasema na wadau wenye uelewa wa masuala ya mambo washaomba wagalatia kama ww muandike majina yenu hamuandiki mnabwabwaja tuu. Wekeni majina hapa mstaajabishwe.
wanahitaji majina matatu ili waweze kukupiga dumba 😂Hii challenge ya kumtaka mtu aniloge niliitoa miaka mingi, nikatoa dau zuri tu, lakini mpaka leo hakuna aliyefanikiwa.
Usijal mkuuDont even worry about t..
We sio mzima kichwan mkuuKagoma kutoa majina yake kamili,we unadhani hajui anajua vyema tuu na ndio maana hataki kutoa ushirikiano
Hawawezi sababu haiwezekani.Hii challenge ya kumtaka mtu aniloge niliitoa miaka mingi, nikatoa dau zuri tu, lakini mpaka leo hakuna aliyefanikiwa.
Wanaotaka sijui majina wala nn hawaezi kukuloga kwani majina yakoHello Africans.
Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.
Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.
Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo. Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).
Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari. Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu. Albino, Vipara, wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.
Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason. Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga. Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.
Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa, basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.
Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.
Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"
Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka. Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.
Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi. Mnadanganywa tu.
UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi. Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.
Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.
Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni. Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona. Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂
Haya kazi kwenu.
NILOGENI
UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga. Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama ng'ombe vyovyote.
View attachment 2615624
your voice worths a lot today... do somethingUsijal mkuu
Sijui kwanin hawataki kuchoka akili zao japo kidogo.Sasa mtu akiweka jina hata majambazi unaweza kumtumia.
Kwani uchawi wako hauwezi kupata jina la mtu kwa kuangaliamuandiko wake hapa?
Hata huyo Mungu ndiyo stories zile zile kama za uchawi.Wanaotaka sijui majina wala nn hawaezi kukuloga kwani majina yako
utakayotoa yaweza kuwayanatumika na watu wengine. Kitu kimoja tu utakufa siku moja Mungu aliyopanga
Mhhhh hilo gauni hapana usilipende hata kidg😂😂😂jamani jaman ninavyolipenda sasa😂😂😂
Mkuu nikitoa majina wanaweza hata kunitumia majambazi, hilo halihitaji uchawi.wanahitaji majina matatu ili waweze kukupiga dumba [emoji23]
Halafu kingine unaweza ukawapa hilo jina say unaitwa Amir Juma Mbonde.Sasa mtu akiweka jina hata majambazi unaweza kumtumia.
Kwani uchawi wako hauwezi kupata jina la mtu kwa kuangaliamuandiko wake hapa?
Huu ujirani vp kwan🤣your voice worths a lot today... do something