Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Inatenda my foot.
Mloge basi.
Acha kupanic, mimi nishasema na wadau wenye uelewa wa masuala ya mambo washaomba wagalatia kama ww muandike majina yenu hamuandiki mnabwabwaja tuu. Wekeni majina hapa mstaajabishwe.
 
Hii challenge ya kumtaka mtu aniloge niliitoa miaka mingi, nikatoa dau zuri tu, lakini mpaka leo hakuna aliyefanikiwa.
 
Acha kupanic, mimi nishasema na wadau wenye uelewa wa masuala ya mambo washaomba wagalatia kama ww muandike majina yenu hamuandiki mnabwabwaja tuu. Wekeni majina hapa mstaajabishwe.
Sasa mtu akiweka jina hata majambazi unaweza kumtumia.

Kwani uchawi wako hauwezi kupata jina la mtu kwa kuangaliamuandiko wake hapa?
 
Wanaotaka sijui majina wala nn hawaezi kukuloga kwani majina yako
utakayotoa yaweza kuwayanatumika na watu wengine. Kitu kimoja tu utakufa siku moja Mungu aliyopanga
 
Mapumbavu eti nipe jina!! Kama we mchawi kweli gundua jina lake na alipo. Hauwezi kufanya hivyo kichawi?
 
Sasa mtu akiweka jina hata majambazi unaweza kumtumia.

Kwani uchawi wako hauwezi kupata jina la mtu kwa kuangaliamuandiko wake hapa?
Sijui kwanin hawataki kuchoka akili zao japo kidogo.
Kwanini washindwe kupata hizo info kiuchani ikiwa inawezekana kufanya jogoo awike tumboni kwa muizi wa kuku au kumchukua mtu msukule.

Hawa wote hakuna aliyewahi kuona mauzauza wanasikia tu na pia walioona "mauzauza" sio mauzauza bali ni vitu vinavyoelezeka kawaida ila kwa vile washaathirika na hizo imani ni mauza uza,ni uchawi.
 
Njoo kanda ya ziwa hasa kagera, tembea na mtoto wa mtu afu akupende, aisee haisimami kokote kule ila kwake tu.
 
Wanaotaka sijui majina wala nn hawaezi kukuloga kwani majina yako
utakayotoa yaweza kuwayanatumika na watu wengine. Kitu kimoja tu utakufa siku moja Mungu aliyopanga
Hata huyo Mungu ndiyo stories zile zile kama za uchawi.

Hayupo, na hakuna mtu anayeweza kuthibitisha yupo.
 
Sasa mtu akiweka jina hata majambazi unaweza kumtumia.

Kwani uchawi wako hauwezi kupata jina la mtu kwa kuangaliamuandiko wake hapa?
Halafu kingine unaweza ukawapa hilo jina say unaitwa Amir Juma Mbonde.
Nina imani Tz hii ina Amir Juma Mbonde zaidi ya mia.
Sasa kama hawawezi kupata hayo majina kiuchawi je wataweza kutofautisha hao kina Amir Juma Mbonde mia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…