Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Jidanganye,uchawi hutumia majini ambayo husafiri.Na pia unalogeka ukiwa na sababu mda mwingine,Mara nyingi uchawi usio wa kawaida ni kuharibiana nyota,familia za kiafrika hatupendani,watakuonea wivu ili wakuibie nyota.
Hayo mambo ya nyota mtu akiongea naona aibu mimi.
Inasikitisha sana.
 
Umejikanyagakanyaga sana mkuu na hakuna la mana hata moja umeongea.
Sorry
 
Kazi ipoo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Oya mko serious kwani bado kuna mtu alileta uzi umu kusema umu ndan kuna wachaw nyie aya
Kama nikikwambia ndani ya wiki ijayo ndugu yako ataugua au kujikwaa na wewe ukakubali kwamba mimi ni mchawi / mganga basi nadhani biashara hii ina wateja lukuki.... Probability ya hilo kutokea ni kubwa kuliko kutokutokea... (after all sidhani kama utafuatilia ndugu zako wako kama wamejikwaa), Au nikwambie leo hii kwamba ndani ya masaa 24 utawashwa sikio au kisogo (utaanza kujisikilizia na huenda kweli ukawashwa)

Mfano ukikusanya watu random 23 kwenye chumba kimoja na ukawauliza siku zao za kuzaliwa ni rahisi kwa wawili kuwa na birthday moja kuliko vinginevyo (ingawa kwa haraka haraka unaweza usione hivyo). Its all happenstances
 
Hiyo kujikwaa nilijua kufa as another word but izi ni kaz za watu atuamini lakini nothing is impossible under the sun
 
Hiyo kujikwaa nilijua kufa as another word but izi ni kaz za watu atuamini lakini nothing is impossible under the sun
Kama ni kufa nakupa miezi sita utasikia kifo cha mtu unayemjua, sio lazima ndugu yaani hata unayemjua kwa jina au ulishawahi kumuona au kumsikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…