Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Atakayeweza kuniloga nitamlipa Milioni 25

Mkuu analeta joki huyu Jeep rubicon Hawezi kutoa jina lake kamili angelitoa jina lake kamili watu wange mtengeneza kw akumtoa damu ya hedhi iwe inamwagika kila siku kwa muda wa siku 7 angeitwa jina hili RIP Jeep rubicon.
Mzizimkavu nakuheshimu upande wa Herbs japo pia inashangaza jinsi wewe kila gonjwa unatibu.Really🤣?

Sorry ila wewe ni janja janja na huna lolote unaloweza kunifanya.
Hata nikukupa hayo majina huna utakachofanya.

Kasirika paa na ungo njoo kwangu uniloge kama unaweza.
Tena nakuhakikishia ukiweza kuniloga utapiga hela humu hadi uzikimbie.Bahati mbaya huwezi😂
 
Ni atheists pekee ndiyo wanaoweza kukuelewa mtoa mada,, nasema hivyo kwa sababu tukirudi upande wa dini, kwetu sisi wakristo kuna andiko kabisa linasema "usimuache mchawi aishi" this means uchawi upo.
 
Kabisaa yaani
Sisi Wa mwanayamala,manzese,mbagala ,buguruni na kinondoni msisiri uchawi Tunaujua upo ila hatuupi attention maana mi ujinga ukiuwaza pia
Ila Watu wanarogwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mkuu nishaishi uswazi.
Sijazaliwa ushuani dear.
Nishaishi nyumba fulani pale magomeni karibu na kwa bibi nyau.Wapangaji wote mpaka kaka yangu alikua akiamin bibi mwenye nyumba ni mchawi ila mim peke yangu ndio nilikua siamini.
Nilikua sina story na mtu na maringo ya kisichana,na katika mabinti mim ndio nilikua na kaz,ilikua ya muda ubaloz fulani.
Nilikua naringa,sina time na mtu na nilikua navaa mtaa mzima naongoza na wamama na vibinti walikua hawanipend wanasema naringa ila mim peke yangu ndio nilikua naweza fua nguo nakuzianika kisha nikatoka nikaziacha.Mimi peke yangu ndio nilikua naacha madumu ya maji ya kuogea yanaishi korido na hakuna kilichowahi kunipata.
Wengine wote wakifua wanalinda nguo eti mtu atachukua uzi awaloge.Maji nilikua naambiwa ninavyoyaacha pale eti nitawekewa kitu nikioga nipate kitu.Nilikua naambiwa nisigaqe nguo au viatu eti watavitumia kuniloga ila nilikua nikivichoka nagawa.Na hapo nilikua mdogo elimu ni form six tu na sina hata exposure niliyonayo leo ila nilikua tu smart kutoamin upuuzi.
 
Sasa wewe ndo tunaweza kufanya biashara.
Nasubiri kitu mkuu.
Waambie kabisa nini utanifanya.
Ila usiniue ili nije kutoa ushuhuda😂.
Na ukiweza kuniloga itabidi tukae mezani tuone namna gani tutumie ndumba kupiga hela na ikibidi tutumie uchawi wetu kunufaisha Taifa liwe first world country.
Na usafiri wetu wa ungo nitahakikisha unachuana na KLM,Ethiopian airline na Emirates kuongeza pato la taifa🤣
holy holm Half american Achraf hakim Bufa

Mkuu, harogwi mtu sababu uchawi wenyewe haupo. Wataishia kukupa maneno na excuses tu za kipuuzi.

Wewe sio wa kwanza kuomba kurogwa humu, tumeshaomba sana turogwe ila hadi leo tunadunda tu, wajinga wanaendelea kuaminishana kwamba ushirikina unafanya kazi.

Wewe umeomba urogwe, mimi niliomba jina tu la diwani. JINA TU. Hadi leo sijapewa hilo jina nilizungushwa wakati niliahidi kutoa hela kabisa. Wajinga waliamini kama nyumbu, ila mimi jina tu nilizungungushwa hadi kesho kweny huu uzi hapa chini:

 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao😂

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Safi sana mkuu.

Haya wachawi na washirikina kazi kwenu tenda safi sana hii ya kuthibitisha uwezo wenu wote.
 
Huna hela hiyo mbwiga wewe.. Kama unayo tuandikishane.. Uje na jina lako na mzazi wako Wa kike... Week haziishi wewe namkabidhi Marasta 1M tu kwisha habari yako
Mnayumba sana.
Sielewi mchawi mwenye nguvu za giza kutaka kuandikishana.
Kama unajiamini piga kaz nikikuzulumu si ndumba zipo?
 
Hello Africans.

Hakuna binadamu ninaowadharau kama wanaoamini mauchawi na mauganga.

Huwa nawaona ni watu wenye kasoro kubwa kichwani na wameoza kiasi kwamba hata uwaambie nini huwezi kuwabadili imani.

Hizi imani pumbavu zinaonesha vile Africans tuko na IQ ndogo.Na ndio maana pamoja na utajiri uliopo ktk hili bara tunateseka na shida karne kwa karne huku wenzetu wasioamini haya maujinga wakituacha mbali kwa maendeleo. (Najua kuna wazungu wachache vichaa pia wanaamin ushirikina).

Ukweli hizi imani zinanikera sana maana mbali ya kuchelewesha maendeleo ya hili bara pia ni hatari.Tushaua sana wenzetu wasio na hatia sbb ya hizi imani pumbavu.Albino,Vipara,wazee with red ayes na wengine wengi.Upumbavu mtupu.

Mimi binafsi nilishahama sehemu kwa kusingiziwa eti mimi ni freemason.Nilifanya kosa nikaporomosha hekalu wanakoishi wajinga.Mjengo wetu uko tofaut by far na nyumba zingine zote.

Wale wapuuzi walishindwa kujua kuwa kufanikiwa hakuna uchawi bali janja janja na timing kwenye fursa,basi yenyewe yakajiongoza eti hapa ni masonic na makafara tu.

Mwanzoni niliwapuuza ila badae kuna kitu ilitokea nikaona hawa wapuuzi kuna siku wanaweza wakajiunga wakanichoma mle ndani wakiamin mie natoa damu za watu kafara.Ikabidi niondoke.

Yupo mfanyakazi wangu alinichana Live kuwa "boss najua huwez kutoa siri zako ila siwez amini umefika hapa ulipofika bila ndumba kuhusika"

Mimi siamini kama kuna mtu yeyote anayeweza fanya kitu digits zangu bank zikaongezeka.Siku zote ninaamini katika kutumia akili ktk kutafuta.

Pia siamini kama kuna mjinga yeyote anayeweza kuniloga kitu kibaya kikanipata sbb havifanyi kazi.Mnadanganywa tu.

UCHAWI NA UGANGA NI UONGO havipo na havifanyi kazi.
Mpo wengi humu mnaoamini hayo matakataka sasa nawapeni ofa ya 25M kwa atakayeweza kuniloga.

Nifanyeni chochote kibaya na mhakikishe hamnisamehi mpaka nije hapa niandike uzi wa kuomba msamaha na kukiri kuwa kweli uchawi upo nimelogwa na pia nilipe hiyo 25M kwa mchawi wangu.

Mkitaka niwatukane babu na bibi zenu wanaoogopwa kwa uchawi ili hasira ziwapande mniloge vizuri semeni.Nitawavurumishia mitusi hao babu/bibi zenu hamjapata kuona.Nitawatukana na kuwakashifu ma hawatanifanya chochote wajinga hao[emoji23]

Haya kazi kwenu.

NILOGENI

UPDATE:Mnaotaka jina ili mniloge siwezi kuwapa sbb ua Privacy ila nawawekeeni picha yangu muitumie kuniloga.Kateni mikono,vidole,nifanyeni niwe na miguu 4 kama.ng'ombe vyovyote.
Mkuu mimi nawatukanaga kilasiku humu, kuamini uchawi ni ujinga usio na kipimo.

Juzi nilikuwa nawatukana wasouth flani hapa job eti wanadao football pia watuwanaloga kupata ushindi, huu ujinga unatumaliza wa Africa sisi pumbavu sana. Nimeyatukana nakuyadharau to the maximum.
 
Mkuu, harogwi mtu sababu uchawi wenyewe haupo. Wataishia kukupa maneno na excuses tu za kipuuzi.

Wewe sio wa kwanza kuomba kurogwa humu, tumeshaomba sana turogwe ila hadi leo tunadunda tu, wajinga wanaendelea kuaminishana kwamba ushirikina unafanya kazi.

Wewe umeomba urogwe, mimi niliomba jina tu la diwani. JINA TU. Hadi leo sijapewa hilo jina nilizungushwa wakati niliahidi kutoa hela kabisa. Wajinga waliamini kama nyumbu, ila mimi jina tu nilizungungushwa hadi kesho kweny huu uzi hapa chini:

Kumbe mkuu ningejua nisingefanya marudio.
Ngojea niupitie uzi wako.
Kuna wakati nilikua Handeni huko ndani ndani.
Nikatokea kupendana na bibi fulani,akatukribisha kwake.Wenzangu wakagoma eti wenyeji wanasema tukilala.pale.kesho hatuamki.
Mimi nikalala.Bibi akanipikia ubwabwa mzuri na samaki.Tukapiga sana story.Bibi was so cool ila alikua anaogopwa na ametengwa eti ni mchawi na anahusishwa na vifo kadhaa pale kijijini.
Tukalala mimi na bibi na pakakucha salama
Wale wenzangu asubuhi wanalalamika eti huko walikolala hawakulala eti mauzauza Handeni hapafai.
Nikashangaa mim nilolala na mchawi mbona sijaona mauza uza
 
Kwa wanaodai majina ya muhusika ningeomba kujua ni ipi mantiki yao ?, yaani hayo majina ya muhusika yatawasaidia vipi, kazi ya hayo majina ni ipi hasa ?

Kama ni kwa lengo la kumtofautisha muhusika anaetaka kulogwa na watu wengine wote duniani ili ulozi umfikie yeye kama yeye naomba kujua.
 
Back
Top Bottom