Jeep rubicon
JF-Expert Member
- Jan 7, 2023
- 737
- 1,446
- Thread starter
- #221
Mzizimkavu nakuheshimu upande wa Herbs japo pia inashangaza jinsi wewe kila gonjwa unatibu.Really🤣?Mkuu analeta joki huyu Jeep rubicon Hawezi kutoa jina lake kamili angelitoa jina lake kamili watu wange mtengeneza kw akumtoa damu ya hedhi iwe inamwagika kila siku kwa muda wa siku 7 angeitwa jina hili RIP Jeep rubicon.
Sorry ila wewe ni janja janja na huna lolote unaloweza kunifanya.
Hata nikukupa hayo majina huna utakachofanya.
Kasirika paa na ungo njoo kwangu uniloge kama unaweza.
Tena nakuhakikishia ukiweza kuniloga utapiga hela humu hadi uzikimbie.Bahati mbaya huwezi😂