Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ushatambua misingi iliyowekwa ni mibovu, kwanini usiishauri serikali iboreshe mfumo.Tulianza kujitegemea kuanzia wakati wa Nyerere mpaka leo tunashindwa. Kila tunachokianzisha au tulichokikuta tukikifanya kwa "kujitegemea" kinashindwa.
Misingi na dhana ya kujitegemea iliwekwa mibovu.
Tumuombe Mwenyezi Mungu, mama Samia aibomowe yote aijenge upya (Rebuild).
Yaani tuhangaike kulipa Kodi, miundo mbinu imekamilika, tumenunua treni halafu wajanja wajanja waibuke waanze kukusanya hela tuu. Yaani kutengeneza application ya ticket ambapo Kila msafiri ataomba ticket mwenyewe bila kujirundika maofisini mnashindwa?Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri.
Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali?
Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na sio kwa mara ya kwanza.
ATC tuliiuwa na sasa ipo njiani kuuliwa tena.
Reli ya kati na TAZARA hatujajifunza tu? Sasa tunarudia makosa yaleyale, tunawakabidhi SGR wauwaji.
Hivi lini tutapata akili?
Maslaji ya umma ni kuuwa mali za umma au kuzifanya ziendeshwe zichangie pato la taifa?Mama samahani ila hufai kuwa kiongozi. Maana kiongozi bora ni yule anaelinda maslahi ya umma.
What if hayo mashirika yakiwa yanamilikiwa na Umma wa Watanzania si mapato yanaongezeka na ajira zinaongezea?
Kunaulazima gani wa kuchukua makaburu yaje kuendesha shughuli zetu. Yani ndege tununue kwa kodi zetu, SRG tutengeneze kwa kodi zetu, afu tumwachie mtu mwingine atuendeshee!!
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa. Hapo msomi hatuna.
Ndio akili yake huyu bi kidude,Apewe kaka Yako Rosta
Kwahiyo kwako wewe kubinafsisha ni sahihi?Maslaji ya umma ni kuuwa mali za umma au kuzifanya ziendeshwe zichangie pato la taifa?
Nambie kipi cha umma amacho hakijabifsishwa kuanzia wakati wa Nyerere mpaka leo hii ambacho kimechangia pato la Taifa?