ATCL, Reli ya Kati, TAZARA na SGR tuwape wanaoweza kuendesha kwa ufanisi mapema kabla ya kuumizwa

Naunga mkono Hoja.. serikali isifanye biashara ikusanye kodi na gawio
 
Kama ushatambua misingi iliyowekwa ni mibovu, kwanini usiishauri serikali iboreshe mfumo.

Keki ya taifa ni kubwa, badala ya kuwakatia keki yetu wageni ni bora tuile wenyewe.

Tatizo kubwa naloona hapa sio CCM ila ni wanaoongoza hicho chama.

Kama ATCL ilikufa na ikaja ikafufuliwa na mtanzania sasa kunahaja gani ya kumpa mzungu.

Yani unaanzisha biashara afu wewe mwenyewe hutaki kuifanya unawaachia wengine wakufanyie alafu hapo hapo unataka ufanikiwe kuliko wao.

Tujitafakari jamani
 
Yaani tuhangaike kulipa Kodi, miundo mbinu imekamilika, tumenunua treni halafu wajanja wajanja waibuke waanze kukusanya hela tuu. Yaani kutengeneza application ya ticket ambapo Kila msafiri ataomba ticket mwenyewe bila kujirundika maofisini mnashindwa?
 
Maslaji ya umma ni kuuwa mali za umma au kuzifanya ziendeshwe zichangie pato la taifa?

Nambie kipi cha umma amacho hakijabifsishwa kuanzia wakati wa Nyerere mpaka leo hii ambacho kimechangia pato la Taifa?
 
Apewe kaka Yako Rosta
Ndio akili yake huyu bi kidude,
Kaskia majina ya kina mudy na azam na wengine wasilamu wenzie baas kabadili gia anasema wapewe.
Sasa hawa si wa hapahapa tu na mwanzo kasema watz wasikabidhiwe hayo mashirika.
 
Maslaji ya umma ni kuuwa mali za umma au kuzifanya ziendeshwe zichangie pato la taifa?

Nambie kipi cha umma amacho hakijabifsishwa kuanzia wakati wa Nyerere mpaka leo hii ambacho kimechangia pato la Taifa?
Kwahiyo kwako wewe kubinafsisha ni sahihi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…