Watu walishapata zawadi zao mda, had wamesahau.Hivi zole tuzo kwa wana jf waliopendekezwa na members wa forum mbalimbali ziliishia wapi?
sizani kama wanaweza toa hiyo list maana inaweza ikaleta lawama nyingiHabari wakuu,
Nasikia jamii forums wametoa top 50 ya stories of change. Iko wapi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwakani nitajiunga nichukue tuzo kwenye mada ya jins ya kumfanya mpenz wako aridhike kitandani mana nina mbinu mazubutu razima nibebe tuzo naomben kuraa zenu
Ankoliii mshana ni Modiii?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sisi tuzo zetu had mwakani March.msimu huu haukuhusisha akina cocast watu wa story za macelebrity au si tuzo hizi nimechanganya
🙏Mkuu Una hoja usikilizwe
Mali ya muhusika! Aliyeshinda...Hivi hayo maandiko ya washindi huwa yanakuwa mali ya nani ? Huwa yanasajiliwa popote ili kulinda haki za mwandishi ?