Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona yako hiyo hapo ipo mtandaoni tena wamesema Bi. Kasie toka Iringa na link sikupi. We sema unataka ya nani na uache blah blah maana niliwapiga wote jana.Basi acha 🙏.
Nilitaka link niitafute mwenyewe kimya kimya.
Naheshimu faragha ya mtu. Kuweka picha ya mtu hapa jukwaani bila ridhaa yake, si ustaarabu, si heshima, si adabu.
Msanii Tumeipata picha yako hapa.View attachment 2775433
Watu walikuwa makini kunasa maelezo yote muhimu yaliyotolewa na wazungumzaji
Hahaha, mtaalamu unachanja mbuga tena ?Ww layman mbona msumbufu sana. Nakupa vitu kwa uchache najua huelewi siwezi kwenda deep anyway Intellectual Property Law includes Patents, copyrights,trademark and tradesecret. Kawe na jumapili njema
Mbona yako hiyo hapo ipo mtandaoni tena wamesema Bi. Kasie toka Iringa na link sikupi. We sema unataka ya nani na uache blah blah maana niliwapiga wote jana.
Shukrani kubwa zifike kwa Muanzilishi wa JF Mr. Maxence (always humble), kongole nyingi kwako na [emoji253] maua yako teleee [emoji4].Hongereni sana team ya JF kwa kuendesha shindano na hatimaye kuibuka na washindi ambao mabandiko yao/mada walizoandika zitaleta chachu ya mabadiliko kwenye jamii baada ya kusomwa, kuchambuliwa na kufanyiwa kazi na wawakilishi wa serikali na hatimaye kumgusa mwananchi mmoja mmoja pale alipo.
Mfano bandiko kuhusu ukusanyaji wa kodi, kwenye upande wa mrengo chanya serikali ikifanikiwa kukusanya kodi kutokana na uwiano wa mapato (GDP) na ikatumika ipasavyo kuleta maendeleo kwa jamii haswa kuwaua maadau wakuu watatu (Umasikini, Ujinga na Elimu) na ndugu zake walioongezeka; kila mwananchi atanufaika na maendeleo yatayofanyika (uboreshwaji katika sekta ya elimu utaofua maarifa ya wananchi kujitengenezea namna ya kujimudu kimaisha badala ya kusubiri ajira kutoka serikalini na mashirika makubwa, sekta ya afya, upatikanaji wa maji safi na salama kwa wananchi wote, kukuza uchumi haswa ujengwaji wa viwanda vidogo vidogo na vikubwa, kuboresha na kukuza mifumo ya teknolojia kuendana na kasi ya dunia n.k.).
Pia, mada zote zilizoshinda hata ambazo hazijashinda, sio tuu ziachwe kufanyiwa kazi na serikali pekee la hasha, bali hata sekta binafsi, mashirika yasiyo ya kifaida na mtu mmoja mmoja kwa namna yake anaweza akaona fursa ambayo anaweza ifanyia kazi na kuweza kumkwamua kiuchumi.
Kuna msemo unasema akili ni mtu, na mwingine unasema watu hufa na utajiri wao, maana kila mmoja huwa ananamna yake ya kutafakuri na kuchambua jambo na kuleta suluhisho kwake binafsi, kwa familia na jamii kwa ujumla.
Ingekuwaje watu wengi wangekufa na mawazo yao ambayo yameleta maendeleo makubwa kwa jamii bila kuyaweka wazi mawazo hayo aidha wakayafanyia kazi wao au wengine wakayaboresha na kuyafanyia kazi...[emoji848]
Oohoooo nimeanza kuandika mada badala ya kuchangia mada [emoji16], my bad.
Hongereni sana bodi ya wakurugenzi, waanzilishi wenzake na Bw. Max, mgeni rasmi, mabalozi na wote waliowezesha na kusherehesha shughuli nzima.
Mwisho wa yote, hongereni sana wafanyakazi wote wa JF kwa ujumla kwa kujitoa na kujituma kwenu kazi yenu imeonekana na binafsi nimetambua huduma yenu. Naamini nje ya mshahara kuna bahasha zinawajia kutoka kwa Bosi, kama hakuwa amewaza hili basi akisoma hili wazo anaweza akafanya kitu [emoji4].
Shukrani kubwa zifike kwa Muanzilishi wa JF Mr. Maxence (always humble), kongole nyingi kwako na [emoji253] maua yako teleee [emoji4].
Wasalaaam, Bi. Kasinde [emoji846].
Mkuu ni ipi siri ya kupewa mialiko katika hafla hizo.Shukrani kubwa zifike kwa Muanzilishi wa JF Mr. Maxence (always humble), kongole nyingi kwako na [emoji253] maua yako teleee [emoji4].
Wasalaaam, Bi. Kasinde [emoji846].[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] kamati ya ufundiMkuu ni ipi siri ya kupewa mialiko katika hafla hizo.
Yote yamepigwa chini,hili shindano lina kaukakasi fulani hivi sijui kama kuna mtu mwenye akili atarudia kushirikiMaandiko 100 ,yote holla
Litapoteza maana sasaYote yamepigwa chini,hili shindano lina kaukakasi fulani hivi sijui kama kuna mtu mwenye akili atarudia kushiriki
Li gentahopeless ukiambiwa utoe ushahidi utaweza? acha wivu na chuki kwa washindi na huu mtandao wa jamiiforums sawa? halafu unaonekana una stress sana na maisha magumu kwani muda mwingi nakuona ni mtu mwenye makasiriko mengi na una wivu usio na sababu kwa members maarufu hapa JamiiForums. badilika kwani unaboa sawa?
Labda kwa kupigiwa kura na nzi wenzio wa kijaniSikuwa serious hii tuzo ningechukua.
Mkuu Una hoja usikilizweWapigania uhuru wengi wa bondenii walikaa Mazimbu, Dakawa, Kongwa na Mgagamo
Kura yangu ushapataMwakani nitajiunga nichukue tuzo kwenye mada ya jins ya kumfanya mpenz wako aridhike kitandani mana nina mbinu mazubutu razima nibebe tuzo naomben kuraa zenu