Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha udini mkuuAlafu wote Wakristo hakuna muumiani hata mmoja liyeshinda nyie vitu kama hivyo hamuwezi andika. Mnachojua ni kuandika threads za kuuponda Ukristo 😀😃😄😁😆😅 au mods ni wadini wamependelea upande wa pili.
Bro, sikuwa namaanisha ila nilikuwa namtania tu jamaa yangu. Mbona limeshaisha hilo?Acha udini mkuu
Simjui huyo Mganga mfawidhi, mi namfahamu mchawi mstaafu tu.😁😁😁😀😀Huyo mbona kama mganga mfawidhi wa JF
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Aisee ina maana kina Mpwayungu hawajaambulia hata moja!!??
Hivyo ndivyo inavyoitwa ?Rejea sheria ya kulinda ubunifu/ Intelectuual Property and Security Law
Hahahahahaha,jamaa wangemuonea HURUMAAisee ina maana kina Mpwayungu hawajaambulia hata moja!!??
Tatizo ni nyota jamani...Maandiko 100 ,yote holla
Kwahiyo hukutupigia kura mkuuKuna watu walikua wanasumbua sana PM kuomba KURA
Hahahahahaha,si kuna akina Mshana Jr wawaombe wawasafisheTatizo ni nyota jamani...
Hahahahahaha,sikupiga ni MkweliKwahiyo hukutupigia kura mkuu
Afadhali maana maandiko ni marefu kupiga kura bila kuelewa kilichoandikwa ingekua ni kumpa kura mtu ambaye sio sahihiHahahahahaha,sikupiga ni Mkweli
Kabisa MkuuAfadhali maana maandiko ni marefu kupiga kura bila kuelewa kilichoandikwa ingekua ni kumpa kura mtu ambaye sio sahihi
Nimeona mkuu mshayamaliza.Bro, sikuwa namaanisha ila nilikuwa namtania tu jamaa yangu. Mbona limeshaisha hilo?