Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Zipo,wazee wa male wanajua.Mfano mbegu za mnyonyo kama sijakosea...Sijajua vizuri ila nasikia zipo ila sio efficient unaweza kunasa mimba.Sasa tutatumia nini jamani? Maana hayo ya wazungu kweli yanaside effects mbaya kabisa, hakuna njia ya asili nyingine ukiacha calendar?