Atheism sio kuamini Hakuna Mungu, ila ni kutoamini kuwa kuna Mungu

Andiko langu halijajikita katika hizo imani mbili tu,linaapply kwa imani zote…hizo mbili nmezitumia kama mfano tu
 
Basi tufanye post yako lengo kuu ni kuongelea project blue beam.

Haya project blue beam inahusiana nini na huu uzi?
 
Andiko langu halijajikita katika hizo imani mbili tu,linaapply kwa imani zote…hizo mbili nmezitumia kama mfano tu
Wewe akili yako imejikita kwenye dini zinazoamini Mungu ni mmoja kwa maana ya Ukristo/Uislamu. Ni wazi hujui unachozungumza sababu kama ungetilia maanani kuwa kuna jamii zenye imani tofauti zaidi ya Ukristo na Uislamu dunia hii, hiyo mantiki uliyotumia ingekuwa batili.
 
Nimejikita katika arguments zinawekwa na watu wa zile imani zinazoamini ulimwengu uliumbwa na Mungu.

,.Kama kuna imani haiamini hivyo sawa, na sijui wao watakuwa wanasema ulimwengu uliumbwaje na sijui zaidi, ila haikuwa main target yangu kwenye hii topic.
 
Basi tufanye post yako lengo kuu ni kuongelea project blue beam.

Haya project blue beam inahusiana nini na huu uzi?
Haingoleai chochote ila nimeiandika kama changamoto tu. ni sawa na vitu vingine vingi nilivyoviongolea.
Kama una akili timamu ungejikita pale nilivyosema" dunia iko fully mysterious, ni zaidi ya waielezeavyo Atheist ama believers, lakini sasa wewe ni kichwa kitupu, umechagua engo unayohisi ni rahisi kwako na kuanza kuandika unacho hisi sahihi.
Bure kabisa.
 
Basi sawa nmekuelewa
 
Nimejikita katika arguments zinawekwa na watu wa zile imani zinazoamini ulimwengu uliumbwa na Mungu.

,.Kama kuna imani haiamini hivyo sawa, na sijui wao watakuwa wanasema ulimwengu uliumbwaje na sijui zaidi, ila haikuwa main

Utakuwa unaumiza kichwa chako bure kila siku na maswali yasiyo na majibu ngoja nikurahisishie: Logic haina nafasi kwenye mambo ya imani au systems of belief. Hao Wahindi na Wachina mabilioni unataka kusema hawana akili wanapoamini hizo imani zao zisizoendana na Ukristo na Uislamu? Dhana ya Atheism inatokana na Ukristo na Uislamu na imani ya kuwa Mungu ni mmoja.
 
Atheism hawaamini katika existing God kwa hiyo acha uwongo.
 
Kama watu wanaamini katika Mungu, awe mmoja au wawe wengi , awe Yesu au ng’ombe..ni sawa tu kwa imani zao lakini wasitulazimishe na sisi kuamini kuwa huyo Mungu yupo na aliumba huu ulimwengu.
Hoja yangu ipo kwa imani zote zinazoamini kuhusu uwepo wa creator god
 
Kwani unaathirika nini ukiamini uwepo wa Mungu?

Akili ya mwanadamu bado inaendelea kuyajua mambo mengi ambayo hayajadhihiri kwa sasa kwahiyo kuna mambo mengi huwezi kuyapatia majibu kwa sasa, kama ulivyosema hapo juu kwamba miaka 50 iliyopita hapakua na videocall, he miaka 1000 ijayo kutakuwaje??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…