Atheism sio kuamini Hakuna Mungu, ila ni kutoamini kuwa kuna Mungu

Siathiriki chochote nikiamini na hata nisipoamini siathiriki chochote maana hii concept haina uthibitisho na wala haina impact yoyote kwenye huu ulimwengu
 
Kwani unataka nini? Mbona sielewi,Basi tupigane
Hiii!! Haki ya Mungu tena, katika kupigana ngumi, hunipigi.
Siandiki kwasababu nipo nyuma ya keypads bali ndiyo uhalisia.
Ndiyo, Nimewai chezea kichapo Bar hadi leo kipo kwenye kumbukumbu zangu , ila wapigaji wenyewe hadi leo wanakili wazi kuwa waliniotea. and in that moment I was hospitalized from that beating wapigaji waliwai kwenda kufanya reconciliation kwa familia yangu mapema ili Iyongo(zali) liishe.
Sasa, japo we ni onymous sikujui unabi ufanye kitu cha ziada kunikalisha.
 
We unafaidika Nini usiamini yupo. Why ni lazma kuamini yupo?
 
A true warrior fights with his sword, he does not fight with his tongue
-Samurai Jack
 
Najaribu kufikiria hapa

Mwezi unao onwa na mamilioni ya watu, lakini ni familia moja tu ya watu kadhaa ndio iliyoweza kushuhudia hilo tukio

Au phenomenon ya movements za mawingu ndio iliyowachanganya?

Maana kuna stori nyingi sana zinazohusishwa na mwezi.

Home tulikuwa tukiangalia mwezi tulikuwa tunasema tunaona bikira maria amempakata Yesu.

Je hutoi nafasi ya wrong interpretation kwenye tukio lako we na familia yako?
 
Mimi na Mungu iko hivi..
Huwa mimi na yeye Tunazungumza.
Namuuliza swali ananijibu, animbiaga hapendi nini na anapenda nini na kuna vitu kanipa na kuna vitu kaniahidi atamipa.

Sifa yake kubwa yeye ndie kaniumba. na Kaumbo dunia yote na ulimwengu.
Waumini wa Mwamposa muwe mnaangalia na mazingira sio kila sehemu ni kawe
 
We unafaidika Nini usiamini yupo. Why ni lazma kuamini yupo?
Taarifa za kwamba kuna Mungu, nimezipata kutoka kwenye dini ambayo pia imeweka utaratibu wa namna ya kuishi na hiyo ndio ninayofaidika nayo.

Ni bora uamini uwepo wa Mungu kwa kuzingatia kwamba bado akili yako haijatumika kwa uwezo wake wote kupinga uwepo wa Mungu,

Ninaposema akili yako ninamaanisha kama mwanadamu, kwa mfano miaka 1000 iliyopita mwanadamu na malighafi zote za kutengeneza gari zilikuwepo lakini alitumia wanyama kusafiri.
 
Kwa hiyo mbona hupigi mawe watu wanaofanya mapenzi alafu hawajaona. Je ni namna sahihi ya watu kuishi? Dini ni utapeli Kama utapeli mwingine tu
 
Huyo Mungu wako unayemsema na akili yako ndo maana hawezi kukuambia kitu ambacho hutaki. Kama unabisha mwambie akuambie ujikate paja..
Sasa huo si ujinga. Mbona hapa hakuna logic. Yaani unamwambia Mungu akuambie ujikate paja? Ili iweje sasa? Hayo mabangi yenu nayo sometimes ni shida.
 
Sijui niweke vipi maneno yangu. Itoshe kusema tukio nilioliona/tulioliona ni miraculous.. Mwezi ulikuwa umejizoom kiasi kwamba kama ni movie Basi utaju huyu sharukan ama yule ni Amrish pool.
Ikiwa ni phenomenon ya movement ya wawingu tu ingelikuwa ni jambo gumu zaidi ya watu sita kuwa fooled na hali hiyo.
Kila mtu alikuwa katika hofu ila sikuwai sikia majirani zetu ama mtu mwingine nje family yetu akiongelea tukio ilo.
 
Kiranga
 
Kama unaona ulikuwa sahihi na sio phenomenon kwasababu tu mlikuwa sita

Ebu jaribu kufikiria nyie 6 kati ya mamilioni wanaouona mwezi ila hawakuliona hilo tukio?

Bila kusahau na ma satellite yaliko huko angani ambayo muda wote yanaaangalia nini kinafanyika kwenye mwezi.

Unatushawishi tuamini kuwa hivyo vifaa vyote pamoja na uwezo wake havikuweza kuona isipokuwa watu 6 wa familia moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…