Atheism sio kuamini Hakuna Mungu, ila ni kutoamini kuwa kuna Mungu

Atheism sio kuamini Hakuna Mungu, ila ni kutoamini kuwa kuna Mungu

Thibitisha kuwa yeye na ukoo wake ni kazi ya Mungu

Upepo upo kwasababu athari zake zinaonekana na zinapimika (windvane) na mtu yeyote anaweza akauhisi au akupima na kuutambua.

Wala haihitaji mchungaji pekee ajifungie auone halafu aje kuwasimulia habari zake ili mmpe sadaka
Na Mungu yupo kwasababu athari zake zinaonekana ardhi anga wewe bahar nk... Ni kazi zake.
 
One thing i have come to believe these days, is that there is neither heaven nor hell after death, there is only reincarnation

You are right , if you believe it .

Ipo hivi , heaven ina exist endapo kweli unaamini kuwa ina exist ,
Hell ina exist endapo kama unaamini ina exist

Kama huamini uwepo wa Hell , then it is true hakuna hell.

Kama unaamini kula pork ni dhambi, then ni kweli kula pork ni dhambi.

Kama unaamini kula pork sio dhambi, then ni kweli kula nguruwe sio dhambi.

The moral ni kwamba there is no universal truth , Haya mambo yanategemea na culture conditioning na moral development ulizopitia.
 
Hoja yako nyepesi eti kwa kuwa kitu hakionekani basi hakipo. Laki kwa kuwa ni wewe anayebisha uwepo wa Mungu, kazi ya kutoa ushahidi inakwangukia mwenyewe. Hivi vilivyopo vinatokea wapi? Kama vitu vilitokea kwenye "big bang", hivyo vilivyogongana vimetokea wapi? Kazi ya kurudi nyuma unayo wewe Sisi tumeshamaliza kazi, ukirudi nyuma na kurudi na kurudi utafika kwenye uwepo wa Mungu ambao sisi tunautafsiri kwa hivi tuvionavyo. Kwetu sisi hivi vitu vyenye mpangilio wenye akili haviwezi kuanzia kwenye bahati nasibu wala ajali. Bahati nasibu haiwezi kuwa na akili na nidhamu kama iliyopo ulimwengu seuze ajali.
 
Thibitisha kuwa yeye na ukoo wake ni kazi ya Mungu

Upepo upo kwasababu athari zake zinaonekana na zinapimika (windvane) na mtu yeyote anaweza akauhisi au akupima na kuutambua.

Wala haihitaji mchungaji pekee ajifungie auone halafu aje kuwasimulia habari zake ili mmpe sadaka
Hoja yako nyepesi eti kwa kuwa kitu hakionekani basi hakipo. Laki kwa kuwa ni wewe anayebisha uwepo wa Mungu, kazi ya kutoa ushahidi inakwangukia mwenyewe. Hivi vilivyopo vinatokea wapi? Kama vitu vilitokea kwenye "big bang", hivyo vilivyogongana vimetokea wapi? Kazi ya kurudi nyuma unayo wewe Sisi tumeshamaliza kazi, ukirudi nyuma na kurudi na kurudi utafika kwenye uwepo wa Mungu ambao sisi tunautafsiri kwa hivi tuvionavyo. Kwetu sisi hivi vitu vyenye mpangilio wenye akili haviwezi kuanzia kwenye bahati nasibu wala ajali. Bahati nasibu haiwezi kuwa na akili na nidhamu kama iliyopo ulimwengu seuze ajali.
 
Hakuna imani ya kutoamini kitu
Ni sawa na kusema mtu ana utajiri wa umasikini
Au kusema mtu ana upendo wa chuki
It doesn’t make sense.
Kwahyo sijaja hapa kuhubiri ‘imani ya kutoamini’
Nimekuja kupinga vitu ambavyo wengi wenu mnaamini bila ushahidi wowote
Ipo imani ya kutoamini uwepo wa Mungu, na waumini wapo organized, na wanajaribu kutafuta waumini kama dini nyinginezo. Wanaitwa Humanists. Wewe una hoja gani mpya ambayo haijajadiliwa humu ndani kwenye posts elfu na elfu tokea JF ianzishwe kuhusu uwepo au kutokuwapo kwa Mungu hadi uje na huu uzi?
 
You are right , if you believe it .

Ipo hivi , heaven ina exist endapo kweli unaamini kuwa ina exist ,
Hell ina exist endapo kama unaamini ina exist

Kama huamini uwepo wa Hell , then it is true hakuna hell.

Kama unaamini kula pork ni dhambi, then ni kweli kula pork ni dhambi.

Kama unaamini kula pork sio dhambi, then ni kweli kula nguruwe sio dhambi.

The moral ni kwamba there is no universal truth , Haya mambo yanategemea na culture conditioning na moral development ulizopitia.
Universal truth ipo,, sema tunaweza tukawa hatuijui tu. Lakini kutoijua haimaanishi haipo.

Zamani watu walibishana kama dunia ni duara au flat na wakatengana kwa makundi ya ‘imani’ hizo mbili
Walioamini ni flat walikuwa wengi zaidi na waliwauwa wale waliosema ni duara

Lakini sayansi ilivyoendelea sasa sio jambo la kuamini tena, ni jambo la kujua tu.
 
Universal truth ipo,, sema tunaweza tukawa hatuijui tu. Lakini kutoijua haimaanishi haipo.

Zamani watu walibishana kama dunia ni duara au flat na wakatengana kwa makundi ya ‘imani’ hizo mbili
Walioamini ni flat walikuwa wengi zaidi na waliwauwa wale waliosema ni duara

Lakini sayansi ilivyoendelea sasa sio jambo la kuamini tena, ni jambo la kujua tu.
Huna hoja yoyote mpya wewe, na isitoshe hizo hoja unazotoa wewe siyo chanzo. Kama umejiridhisha Mungu hayupo kwanini usikae kimya na kuendelea na maisha yako kama kawaida? Ina ku cost nini?
 
Hoja yako nyepesi eti kwa kuwa kitu hakionekani basi hakipo
Hii sio hoja yangu, tafadhali rudia tena kusoma
. Laki kwa kuwa ni wewe anayebisha uwepo wa Mungu, kazi ya kutoa ushahidi inakwangukia mwenyewe.
Kazi ya kutoa ushahidi ipo kwa yule anayesema kitu fulani kipo sio yule anapinga uwepo wake (ingawa mimi sijasema Mungu hayupo)
Mtu akisema nyumbani kwake aliwahi kufuga paka wanaotaga, ukibisha akakuambia wewe uthibitishe kuwa hajawahi kufuga hao paka utaweza?
Burden of proof ipo kwa yule aliyeweka claim
And extraordinary claims require extraordinary proofs
Hivi vilivyopo vinatokea wapi? Kama vitu vilitokea kwenye "big bang", hivyo vilivyogongana vimetokea wapi?
Mimi sijui vimetokea wapi, hilo haimaanishi vimetokea kwa Mungu
Kazi ya kurudi nyuma unayo wewe Sisi tumeshamaliza kazi, ukirudi nyuma na kurudi na kurudi utafika kwenye uwepo wa Mungu ambao sisi tunautafsiri kwa hivi tuvionavyo.
Ukirudi nyuma unafikaje kwenye uwepo wa Mungu?? Unaweza kutuonesha hili?
Kwetu sisi hivi vitu vyenye mpangilio wenye akili haviwezi kuanzia kwenye bahati nasibu wala ajali. Bahati nasibu haiwezi kuwa na akili na nidhamu kama iliyopo ulimwengu seuze ajali.
Ukiona mji ulivyopangiliwa kama Dar unaweza kusema watu walikutana siku moja wakakubaliana kuijenga dar.
Lakini bahati nasibu tu kuna mtu wa kwanza aliyeona ajenge hapa karibu na bahari na sio Bagamoyo, kupitia bahati hizo watu wakaongezeka na kujenga barabara wakazidi kujikusanya mpaka mji ukawa hivi unavyouna leo, ila yule mtu wa kwanza kujenga dar hakujua patakuwa mji kama wa leo…ni mlolongo wa bahati umetufikisha hapa.
Evolution haina akili lakini inaonesha kushape mwonekano wa viumbe na kuleta aina mpya za viumbe duniani
 
Ipo imani ya kutoamini uwepo wa Mungu, na waumini wapo organized, na wanajaribu kutafuta waumini kama dini nyinginezo. Wanaitwa Humanists. Wewe una hoja gani mpya ambayo haijajadiliwa humu ndani kwenye posts elfu na elfu tokea JF ianzishwe kuhusu uwepo au kutokuwapo kwa Mungu hadi uje na huu uzi?
Hakuna hiyo imani,, yani labda useme wana imani zingine na wapo organized katika hizo ila pia hawaamini uwepo wa mungu.
Lakini huwezi kusema wako organized katika kutoamini Mungu..haya hauamini mungu then what??

Kwanza Humanism haihusiani na kutoamini mungu, ni mtazamo wa kifikra na kimaadili unaoweka kipaumbele kwa utu, heshima, na ustawi wa binadamu. Ni falsafa inayojikita katika uzoefu wa binadamu, maadili yanayotokana na ubinadamu, na nafasi ya binadamu katika ulimwengu. Humanism inalenga katika maendeleo, maendeleo ya mtu binafsi, na kujitolea katika kuimarisha ubora wa maisha ya binadamu kwa njia zote.
 
Huna hoja yoyote mpya wewe, na isitoshe hizo hoja unazotoa wewe siyo chanzo.
Hivi hata post ya kwanza umeisoma kweli?? Mbona kama huelewi hata nazungumza nini??Wapi nimesema nakijua chanzo??
Mimi nachokisema mpaka sasa hakuna ajuaye chanzo, sio wachungaji na wala sio wanasayansi kwahyo hatuna sababu za kuamini Mungu yupo.
Kama umejiridhisha Mungu hayupo kwanini usikae kimya na kuendelea na maisha yako kama kawaida? Ina ku cost nini?
Wapi nimesema Mungu hayupo??
Hata title tu inajielezea.
Atheism sio kuamini kuwa mungu hayupo, bali ni kutoamini kama Mungu yupo.
Na hatuamini kwasababu hakuna ushahidi.
ila anaweza akawepo.
Na kwasababu hakuna ushahidi wa uwepo wake basi hakuna haja ya kuamini yupo.
Umeelewa?
 
Hakuna hiyo imani,, yani labda useme wana imani zingine na wapo organized katika hizo ila pia hawaamini uwepo wa mungu.
Lakini huwezi kusema wako organized katika kutoamini Mungu..haya hauamini mungu then what??

Kwanza Humanism haihusiani na kutoamini mungu, ni mtazamo wa kifikra na kimaadili unaoweka kipaumbele kwa utu, heshima, na ustawi wa binadamu. Ni falsafa inayojikita katika uzoefu wa binadamu, maadili yanayotokana na ubinadamu, na nafasi ya binadamu katika ulimwengu. Humanism inalenga katika maendeleo, maendeleo ya mtu binafsi, na kujitolea katika kuimarisha ubora wa maisha ya binadamu kwa njia zote.
Ingekuwa vyema kama ungeweka wazi vyanzo vyote ulivyotumia kuthibitisha hoja zako na siyo kujifanya kama wewe ndiyo mtaalamu wakati uliyoandika ni maoni yako tu.
 
Ngoja nisubscribe nisome baadae najua huu uzi utakuwa na mabishano moto moto. Sijajua kama Kiranga ameshapita au bado
 
Hivi hata post ya kwanza umeisoma kweli?? Mbona kama huelewi hata nazungumza nini??Wapi nimesema nakijua chanzo??
Mimi nachokisema mpaka sasa hakuna ajuaye chanzo, sio wachungaji na wala sio wanasayansi kwahyo hatuna sababu za kuamini Mungu yupo.

Wapi nimesema Mungu hayupo??
Hata title tu inajielezea.
Atheism sio kuamini kuwa mungu hayupo, bali ni kutoamini kama Mungu yupo.
Na hatuamini kwasababu hakuna ushahidi.
ila anaweza akawepo.
Na kwasababu hakuna ushahidi wa uwepo wake basi hakuna haja ya kuamini yupo.
Umeelewa?
Usiende mbali. Hiyo imani yako unaijua mwenyewe na kama umejiridhisha ni sahihi basi tatizo kitu gani? Baki na imaini yako. Usitafute malumbano kinguvu kuhusu imani yako.
 
Ingekuwa vyema kama ungeweka wazi vyanzo vyote ulivyotumia kuthibitisha hoja zako na siyo kujifanya kama wewe ndiyo mtaalamu wakati uliyoandika ni maoni yako tu.
Nimesema vingi, labda kitu gani unataka niweke chanzo chake?
 
Usiende mbali. Hiyo imani yako unaijua mwenyewe na kama umejiridhisha ni sahihi basi tatizi kitu gani? baki na imaini yako. Usitafute malumbano kinguvu kuhusu imani yako.
Mimi sijaja kusema imani yangu humu wala kutetea imani yoyote.
Mi nimekuja kusema vitu kama vilivyo wala haihitaji kuamini..ni vitu vilivyo wazi kabisa.

Nimekuja kusema kuwa hizi imani za mungu hazina uthibitisho kwahyo haina haja ya kuziamini. Hakuna ajuaye chanzo cha ulimwengu.
Na atheism siyo kusema kuwa Mungu hayupo bali ni kusema kuwa nitaamini Mungu nikipata ushahidi wake, ila kwasasa sina haja ya kuamini hilo.
Basi tuamini kila tunaloambiwa bila ushahidi??
 
Mimi sijaja kusema imani yangu humu wala kutetea imani yoyote.
Mi nimekuja kusema vitu kama vilivyo wala haihitaji kuamini..ni vitu vilivyo wazi kabisa.

Nimekuja kusema kuwa hizi imani za mungu hazina uthibitisho kwahyo haina haja ya kuziamini. Hakuna ajuaye chanzo cha ulimwengu.
Na atheism siyo kusema kuwa Mungu hayupo bali ni kusema kuwa nitaamini Mungu nikipata ushahidi wake, ila kwasasa sina haja ya kuamini hilo.
Basi tuamini kila tunaloambiwa bila ushahidi??
Wewe utakuwa wale wanaitwa "agnostic" , lakini kwaheri. Mwisho wa malumbano. Unaweza kuwa msichana wa Form 3 wewe una daddy issues.
 
Wewe utakuwa wale wanaitwa "agnostic" , lakini kwaheri. Mwisho wa malumbano. Unaweza kuwa msichana wa Form 3 wewe una daddy issues.
Tuiweke hivi;
Agnostics wanaamini kuwa Haijulikani na haiwezi kujulikana kama Mungu yupo au la.(unknowable)
Atheists hawaamini kama hawa miungu wanaohubiriwa kwenye dini za duniani wapo.

Mimi pia siamini hawa Mungu wanaohubiriwa kwenye dini wapo kwasababu hakuna Ushahidi,siku ushahidi ukipatikana na ikathibitika nitaamini.
Agnostics wanasema haiwezi kujulikana kama Mungu yupo/hayupo…Mimi naamini inaweza kujulikana, huenda ipo siku huyo mungu akaja wote tukamuona au ipo siku sayansi itagundua kila kitu kuhusu chanzo cha ulimwengu..Sema hiyo option ya pili naona ni more likely.

Kwahyo labda uniweke kwenye box la agnostic atheism (kinda sio 100%), siamini Mungu na naamini kuwa kwasasa haijulikani kama Mungu yupo au hayupo,, lakini mimi sio 100% agnostic kwasababu siamini kama ishu ya mungu haiwezi kujulikana..mi naamini inaweza kujulikana
 
Back
Top Bottom