Atheism sio kuamini Hakuna Mungu, ila ni kutoamini kuwa kuna Mungu

Atheism sio kuamini Hakuna Mungu, ila ni kutoamini kuwa kuna Mungu

Kama watu wanaamini katika Mungu, awe mmoja au wawe wengi , awe Yesu au ng’ombe..ni sawa tu kwa imani zao lakini wasitulazimishe na sisi kuamini kuwa huyo Mungu yupo na aliumba huu ulimwengu.
Hoja yangu ipo kwa imani zote zinazoamini kuhusu uwepo wa creator god
Wanaoamini Mungu mmoja, Nyani, Mizimu na wasiyoamini Mungu awe Mungu mmoja, Nyani, Mizimu au mbwa wote wana nafasi katika dunia hii. Kwahiyo hizo imani zako za kutoamini uwepo wa Mungu baki nazo mwemyewe maana hata hao wanaoamini ng’ombe ni Mungu hawapigi promo imani zao kwa namna yoyote. Zitabaki imani tu na zote ziheshimiwe.
 


Can you prove the existance of pyramids in Egypt if yes then who do you think constructed them and how??--- this counter question is a base before coming to your question in which you need a proof for God existence.
 
Tumuite Mungu, japo nikiulizwa kwanini awe ni Mungu na si kitu kingine tu nisichokijua, nitakuwa sina jibu.
Hii dunia ni full mysterious, actually hakuna anajua chanzo cha ulimwengu na uhai but kuna Imani ina make logic sense ukisikiliza, sihitaji kuelezea isije semwa ninaihubiri.

Kuna nguvu inaendesha hii dunia na haijali hisia zetu,it acts accordingly na haitafuti waumini wa kuiamini.

Sikumbuki mwaka, coz ni kitambo niliwai ona watu wakitembea kwenye mbalamwezi wakati nimetoka nje kukojoa.
Nilihisi ni wenge BCBG, Nikarudi ndani kumuambia Mama kuwa kuna kitu cha ajabu nje, watu wanatembea kwenye mwezi.. Ilimchukua sekunde kadhaa kuhisi kuwa uenda kuna kitu si cha kawaida nimekiona nje ndiyo maana ninamuamsha ili akakione. akaamuka na Dada zangu wakaamka kwenda kushuhudia nilichokuwa nina kisema!!.
Ni yale majira ya mwezi Unatokeza fully, umbo lote unaliona.. Ni kama vile sinema watu wanatembea kwenye mwezi.
Niliowaita kuona ilo tukio waliogopa sana!! dada yangu ninaemfuta mara 3 akasema " twende kwa mzee wa kanisa, uenda leo ni siku ya mwisho".
Baada ya hapo ile sinema ikakata mwezi ukarudi katika hali yake.
Hadi leo wengine wamezeeka, nikijalibu kuwa kumbushia hiyo ilo tukio kila mmoja ana maoni yake.
Hivi juzi nimekuja kujua kuhusu mradi wa blue beam, uenda tulichokishuhudia ni blue beam ama ni tukio la miujiza tu kama miujiza mingine.. But definitely nimewai ona watu wakitembea kwenye mwezi. mwezi huu huu UnAujua, nimeona bila vifaa vya kitaalamu.
Ulimwengu ni zaidi ya unavyoelezwa na atheists ama believers.
Ah wapi..... Hapo Kwa mm hunipati. Hata kama ungekuwa mwezin kipindi hiko uwezekeno wa kutuona sisi huku duniani usingekuwepo
 
Mwezi hauko chumbani kwako,Kitu chochote kwenye mwezi kingeonekana dunia nzima.
Wewe kuona na dada zako mauzauza sio uthibitisho wa kuwepo kwa Mungu.

Kuna kipindi watu wa Mwanza waliona usiku kuna mwanga mkali angani unatembea ukizunguka anga.. wakasema ni yesu anarudi lakini kumbe zilikuwa zile taa za club ya Villa park.
Huyu alirogwa tu.. sio bure
 
Can you prove the existance of pyramids in Egypt
Yes, I can show you pictures,videos and if you are desperate enough to pay for a plane ticket, I can take you there
if yes then who do you think constructed them and how??
They exist, but Im not sure who constructed them or how, just as I am pretty sure my great great great great great grandfather existed but I don’t know who he was or where he lived.

But if you tie my hands at gunpoint I’d say I beleive they were created by ancient civilizations using a lost ancient technology (because technology can be lost through time)
Why? Because it is a theory with the least assumptions.
But I can’t say I’m sure of that either as I have no evidence and I could be wrong.
 
Yes, I can show you pictures,videos and if you are desperate enough to pay for a plane ticket, I can take you there

They exist, but Im not sure who constructed them or how, just as I am pretty sure my great great great great great grandfather existed but I don’t know who he was or where he lived.

But if you tie my hands at gunpoint I’d say I beleive they were created by ancient civilizations using a lost ancient technology (because technology can be lost through time)
Why? Because it is a theory with the least assumptions.
But I can’t say I’m sure of that either as I have no evidence and I could be wrong.


you've acknowledged the presence of the pyramids yet you are not sure whether they were built and what technologies were then used in their construction although you doubtfully mentioned the ancient Egyptians to be those who built them, I can say that you have intentionally anticipated and therefore raised the doubts only to stealthly defend yourself from the arguments I'm about to raise in accordance to your answer.

Any way, you need to be truthful, consistent and sure in this case as to who do you think constructed the pyramids so that we can go on otherwise we are stuck right here.
 
SHARKS DON'T KNOW THAT CAMELS EXIST.


Atheists are like sharks 🦈who don't know that camels exist, while indeed camels🐪 do exist.
 
Nguvu za kimiujiza ni wrong interpretation ya vitu.

Kitu ambacho hujui mechanism yake imekuwaje mpaka iwe hivyo, ndio hapo utajikuta umekiita muujiza.

Ngoja nikupe short story

Kipindi ambacho niko shuleni nilibahatika kuishi hostel na room ambayo nilikua nalala nilikua nashea kitanda na mtoto wa mchungaji

Siku moja usiku tukiwa tumelala likapita tetemeko, lilitikisa kwa muda mrefu kidogo, wanafunzi wengi tulitoka nje kuhofia kubomokewa na nyumba.

Lakini kwa bahati mbaya rafiki yetu mlokole hakupata bahati ya kutoka. Kesho yake asubuhi akawa anatusimulia kua usiku alitembelewa na wachawi ambao walikua wanatikisa kitanda huku na huku kila kona ya kitanda.

Jamaa akaenda mbali kabisa kusema kua roho mtakatifu alimuingia na akajikuta amesimama na kuanza kufanya maombi yaliyochukua muda kidogo mpaka pale wachawi walipoishiwa nguvu na kukimbia.

Tukamuambia kua hawakua wachawi ilikua ni tetemeko, akabisha ikibidi aende kumuuliza mlokole mwenzie naye akasema ni kweli ilikua ni tetemeko.
Acha uswahili una uhakika gani kuwa sifa tulizofundishwa shuleni kuhusu mwezi ndo hzo pekee? Ndiyo maana tafiti hufanywa kila siku,, usimbeze jamaa ijapokuwa hatuna uhakika na story take ww ni binadamu kama mimi na hujui chochote kuhusu ulimwengu
NB: USIJIFANYE MJUAJI SANA, Na pia ni wachache sana wanaochunguza vitu MBALIMBALI, swali kwako,, Je, ni lini umelichunguza mwezi?
 
Sasa nikupe ushauri kuanzia Leo Fanya kile kilichondani ya uwezo wako maana hata hao waliokuambia wamefika mwezini,Mara wanajua kuna magimbi mengi kama viazi vya mbeya, huna uhakika kwasababu haujafika Wewe, Wewe na wahindu na hao wakristo tofauti yenu ni ndogo sana yaani huyu anaenda mashariki kufuata mahindi na huyu anaenda kusini kufuata mahindi,

Mimi kama kweli ingekua Mimi ndo huyo Mungu ningewaacha muendelee kuhangaika hivohivo ili kunijua na sitokaa nije nijue mtanifanyaje dadek zenu.
 
Binafsi naona ilipasa kuwepo na tokeo la Mungu kwa nyakati zetu hizi tunaweza kusema modern world.

Kwa sababu nyakati hizi ndio upeo wa maarifa ya mwanadamu umekua mkubwa kwamba hapokei kitu bila ya kudhihirisha.

Tunapo soma vitabu hivi vya dini haswa hizi tunazo ziita abrahamic religion natumaini hakuna hata mmoja kati ya wale walioandikwa kule waliwahi kumuona Mungu isipokuwa ni kwa ishara za hapa na pale ambapo wangeambiwa waweke ushahidi kwamba wamemuona Mungu na wamezungumza nae wasingeweza.

Waliamini hivyo kwamba Mungu amezungumza na fulani kwenye ndoto au kwenye moto unao waka kichakani kwa sababu ya upeo wao kwa wakati huo.

Kwa ukubwa wa Mungu alio nao asingepaswa recognition au Identity yake ipatikane kwenye imani tuu!

Yeye ndie yupo juu ya maarifa yote, yupo juu ya ujuzi na elimu yote, sasa kujulikana na kuwepo kwake kuwe kwa kiimani zaidi hai make sense .


Badala yake usio ukweli unaenezwa sana kwa kivuli cha imani.

Propaganda nyingi sana kwa kivuli cha imani.

Uzushi na utapeli ni mwingi sana kwa kivuli cha imani.

Imepelekea ukweli kukaa mbali sana , na wanaojaribu kuhoji na kutafuta walao udhibitisho wa uwepo wake wanakemewa na kukaripiwa sana na hata kutengwa na jamii.


Ifike wakati atokee mtu kama musa aseme na Mungu kwamba watu wake wa leo hii tunahitaji kumuona kwa macho ya nyama.
Wewe mwenyewe na ukoo wenu mnathibitisha kuwa Mungu yupo, kwasababu ninyi ni kazi yake,
Wewe unataka uthibitishiwe vipi???

Kwani nilzima umuone? Kama yeye hataki kuonwa nawewe kwanini umlazimishe? Fanya yako achana nayeye , ila wewe kutouona upepo haimaanishi kuwa upepo haupo kisa unataka uone na kuushika,
 
Shida yako naona ni Jina tu la Mungu ,ok basi tuseme huo ulimwengu ndio Mungu ,shida Iko wapi apo? Maana ktk andiko bado unaamini kua wenda ulimwengu ndio uliumba kila kitu sasa ww hilo Jina ulimwengu ni nan Aliupa? Kwann umeamini Jina ulimwengu ambalo pia umelisoma Kama ulivyosima Jina Mungu? Kuna tofauti gani apo kama ww unaamini ktk majina? Vip Kama ukiamua ww Mungu umuite ulimwengu ? Au umuite Power beyond everything,bado hakuna tatzo ,bado unaoneka unaamini kila kitu Katik ulimwengu una chanzo Hata Kama chanzo ndo ulimwengu Wenyewe bado ndio chanzo kwahyo hakuna shida hicho chanzo kua ndio Mungu au Jina Lolote utakalo Penda,Tatzo ww umemuweka Mungu ktk umbo na mtazamo wa kibinadamu ,Mungu yy Kama yupo sidhan Kama Ana shida na Jina hilo la Mungu ?unaweza amua kumpa Jina lako ,
 
Wanaoamini Mungu mmoja, Nyani, Mizimu na wasiyoamini Mungu awe Mungu mmoja, Nyani, Mizimu au mbwa wote wana nafasi katika dunia hii. Kwahiyo hizo imani zako za kutoamini uwepo wa Mungu baki nazo mwemyewe maana hata hao wanaoamini ng’ombe ni Mungu hawapigi promo imani zao kwa namna yoyote. Zitabaki imani tu na zote ziheshimiwe.
Hakuna imani ya kutoamini kitu
Ni sawa na kusema mtu ana utajiri wa umasikini
Au kusema mtu ana upendo wa chuki
It doesn’t make sense.
Kwahyo sijaja hapa kuhubiri ‘imani ya kutoamini’
Nimekuja kupinga vitu ambavyo wengi wenu mnaamini bila ushahidi wowote
 
Any way, you need to be truthful, consistent and sure in this case as to who do you think constructed the pyramids so that we can go on otherwise we are stuck right here.
I am truthful by saying I don’t know. I won’t lie to you by pretending I know. Plus I want to discuss on things I know of and not things I beleive.
Tha age of beleiving is gone, now it’s the age of knowing.

It is like finding a house in the forest, you’ll be sure it exists because you see ot but you can’t be sure who constructed it or when. Same thing with the Pyramids and the Universe.

We can come with different theories of who built the house in the forest, you can say its Aliens,angels,Satan,God,or just human beings.
Although I won’t be sure of who it is exactly, but I will go with the theory with less assumptions.
And that would be Humans
 
SHARKS DON'T KNOW THAT CAMELS EXIST.


Atheists are like sharks 🦈who don't know that camels exist, while indeed camels🐪 do exist.
The difference is you and I know that both sharks and camels exist.
you and I are not sharks.
And sharks can beleive There are other sharks on land when they dont exist
 
Shida yako naona ni Jina tu la Mungu ,ok basi tuseme huo ulimwengu ndio Mungu ,shida Iko wapi apo? Maana ktk andiko bado unaamini kua wenda ulimwengu ndio uliumba kila kitu sasa ww hilo Jina ulimwengu ni nan Aliupa? Kwann umeamini Jina ulimwengu ambalo pia umelisoma Kama ulivyosima Jina Mungu? Kuna tofauti gani apo kama ww unaamini ktk majina? Vip Kama ukiamua ww Mungu umuite ulimwengu ? Au umuite Power beyond everything,bado hakuna tatzo ,bado unaoneka unaamini kila kitu Katik ulimwengu una chanzo Hata Kama chanzo ndo ulimwengu Wenyewe bado ndio chanzo kwahyo hakuna shida hicho chanzo kua ndio Mungu au Jina Lolote utakalo Penda,Tatzo ww umemuweka Mungu ktk umbo na mtazamo wa kibinadamu ,Mungu yy Kama yupo sidhan Kama Ana shida na Jina hilo la Mungu ?unaweza amua kumpa Jina lako ,
Mimi kwanza siamini kwamba kila kitu kina chanzo na sababu nimeziweka wazi kwenye post juu…hyo assumption ya kila kitu kina chanzo haina ushahidi wowote maana hatuna data za kutosha.,sample tunayoitumia ni 1 tu,huu ulimwengu, lakini huenda hata kuna ulimwengu nyingi na hazina chanzo kama wanaoamini mungu wanavyosema hana chanzo.

Pili, nliposema ulimwengu unaweza kuwa chanzo chake mwenyewe sikumaanisha kuwa nina uhakika ni hivyo, hapo niliendelea kutoa scenario zingine ambazo zinaweza kuwa ukweli tofauti na hii tuliyokariri ya Mungu.

Tatu, by definition Mungu sio ulimwengu (kwenye hizi dini kuu) Bali yupo ndani na nje ya ulimwengu, ana uwezo wa kuubadilisha ulimwengu atakavyo, yeye ndiye aliyeutengeneza na anaweza akasema neno tu ulimwengu ukapotea ila yeye akabaki ..kwahyo ishu sio Majina ishu ni hizi sifa za uwepo wa Mungu.. yani intelligent power nje ya ulimwengu iliyokuwepo kabla ya ulimwengu na iliyoutengeneza ulimwengu na inaweza kila kitu.
 
Wewe mwenyewe na ukoo wenu mnathibitisha kuwa Mungu yupo, kwasababu ninyi ni kazi yake,
Thibitisha kuwa yeye na ukoo wake ni kazi ya Mungu
Wewe unataka uthibitishiwe vipi???
Kwani nilzima umuone? Kama yeye hataki kuonwa nawewe kwanini umlazimishe? Fanya yako achana nayeye , ila wewe kutouona upepo haimaanishi kuwa upepo haupo kisa unataka uone na kuushika,
Upepo upo kwasababu athari zake zinaonekana na zinapimika (windvane) na mtu yeyote anaweza akauhisi au akupima na kuutambua.

Wala haihitaji mchungaji pekee ajifungie auone halafu aje kuwasimulia habari zake ili mmpe sadaka
 
Hicho mlichoona ni hallucinations, Ureno watu 3000 waliona jua linacheza cheza.

Yes , Hizi huwa ni personal experience.

Mnaweza watu kumi mkaona kitu kimoja, still hiyo haijustify chochote.

Hata yule Mama wa Mwanza Zumaridi, ni kweli alienda mbinguni, na ni kweli alikuta watu wanaongea kisukuma na ni kweli hakukuta mpare yoyote mbinguni. Hizi huwa ni personal experience na ni za kweli katika perspective ya muhusika anae experience.


Shida ni pale personal experience ya mtu mmoja tunapotaka kui generalize na iwe truth kwa wengine. Tatizo ndio linaanzia hapo
 
Back
Top Bottom