Atheists wana mtindio wa ubongo

Atheists wana mtindio wa ubongo

“Bila contradiction” hayo ndiyo matarajio yenyewe😂
Contradiction ni errors katika logic inayoonesha uongo wa jambo kwenye hoja

Kwenye reasoning kitu chochote chenye contradiction hakiwezi kuwa sahihi

Ni sawa na kusema binti mwenye umri wa miaka 20 ana mama mzazi mwenye umri wa miaka 3

Mtu akawa anapinga kuwa hilo haliwezekani kwasababu ni contradiction inayoonesha mtoto hawezi kuwa na umri mkubwa kuliko mama yake

Halafu we ukawa unasema hayo ni matarajio yako
 
Asee jibu swali
Zitaje hoja yangu si kwqmba siko nyingi, hoja yangu ni kua umejifungia ktk sifa chache unakosoa ilhali ungejua nyingine pengine ungebaki huna swali

Unaona kijana unapopotea?

Kuzitaja chache haina maana sio sahihi😂
Nakutaka utaje nyingine ili upanue uelewa wako hizo sio kwambq umekosea mkuu

Siyo kweli wewe zitaje kama unazijua na kqmq huzijui maana yake hata hujui unachozungumzia


Hiyo siyo, ninachokutaka ni upanue wigo wa sifa chache ulizojifungia

Na ujue kuwa ujuzi wako kwa dhana ya Mungu ni finyu kuliko uhalisa

Kuzitaja sifa zake hakukuondolei focus, kunakupa picha kubwa mkuu


Kama kawaida mfano irrelevant
Tunazungumzia Mungu hapa sio sheria za usalama barabara Mkuu
Hoja kuwa nyingi ni hoja ya kipuuzi

Kwasababu haiondoi maana kuwa zile sifa chache nilizoweka ni za uongo

Haiondoi maana kuwa zile sifa ulizotajiwa hazimuhusu huyo Mungu

Hoja ya kusema kuna vibaka na wabakaji haiondoi maana kuwa wewe hujavunja sheria kwa kuendesha gari kiholela

Hoja yako ni ya kijinga
 
Kama aliyetengeneza System ndiyo tunamuita Mungu unawezaje sema kinachotokea hqkina approval yake ilhali ninasema kuwa yeye muweza wa yote?

Mkuu unaelewa unachokisema?
Maan ya uweza wa yote mbona iko wazi
Kwanini ulikuwa unamuondoa Mungu kwenye nafasi ya kuhusika na hayo mabaya kwa kisingizio cha nature?

Na sasa niambie kwanini huyu Mungu ambaye ndio msababishi wa kila ovu awe anapata mihemko ya hasira kwa viumbe wake kwa kuona watu waki behave namna isiyomfaa kulingana na mabaya wanayo face?
 
Sio kweli kwa maana gani?

Kwamba mtu anaweza akawa ana experience hallucinations at the same time akawa anajua kuwa vitu anavyovi perceive havipo real?
Haswaa ndiyo maana nikakutolea mfano wa Mazigazi.
 
Kunipa maana ya kuumba hakuna maana maana yako inatakiwa kuchukuliwa kama ulivyo i-address

Na ndio maana nakuja na mtiririko wa maswali yanayoendana na hoja hiyo hiyo nikiwa najua kuna mahala utakwama kwasababu ya tatizo ulilolutengeneza mwanzo kupitia maana uliyoitoa.

Kwa hiyo swali ni hili

Uliwahi kushuhudia uumbaji wa kitu gani kingine achilia mbali ulimwengu ambao umekushinda?

Ili iwe ni fact ya kibusara kufikiria uumbaji upo?
Sijawahi.
 
Swala la kusema kitu fulani ni uhalisia nimekuonesha namna watu wanavyoweza kupotoka kwa namna nyingi
.
Nakutoa hapo nakupeleka kwenye dini yeyote inayopingana na yako, mtu huyo akasema dini yake ni ya kweli kwasababu haipingani na uhalisia, wewe utakubali au utahitaji uthibitisho zaidi?

Kwamba claim yeyote inayosemwa kuwa ni uhalisia inapaswa kupokelewa hivyo hivyo kama ilivyo qaailiahwa kwasababu hakuna nafasi ya kilicho daiwa ni uhalisia kikawa ni uongo?

Kama ipo nafasi basi hoja ya kusema kitu fulyni uhalisia bila kuthibitisha itakuwa ni upuuuzi tu
Hujaonyesha Hilo na huna uwezo huo. Uhalisia mfano nimekutolea. Maana yake ukienda kinyume na uhalisia ujue wewe ni mgonjwa wa akili kama ulivyo wewe. Unatakiwa ujenge hoja kwa kile ninachokiandika Mimi. Mfano wa uhalisia ni wewe kuwa mdogo kiumri kuliko baba yako mzazi.

Sasa ukienda kinyume chake ni kuwa mgonjwa wa akili, kama ulivyo wewe kutaka ushahidi juu ya baba yako mzazi kuwa mkubwa kiumri kuzidi wewe. Huu ndiyo uhalisia Sasa jua Hilo kwanza siyo unaandika maneno mengi halafu hayana maana wala hayajibu hoja. Huu ni wendawazimu mwingine.

Shukrani.
 
Haswaa ndiyo maana nikakutolea mfano wa Mazigazi.
Basi hiyo mazigazi yako ni kitu kingine tofauti na hallucinations

Hallucinations ni kitu ambacho ubongo wako unadanganyika na katika hicho kipindi huwezi kujua kuwa upo kwenye hallucinations kwasababu ubongo wako unatafsiri kuwa hiyo ni hali ya kawaida.

Mhanga wa hallucinations hana utambuzi wa kujua hii ni hallucinations na kwamba anachokiona hakipo real
 
Hujaonyesha Hilo na huna uwezo huo. Uhalisia mfano nimekutolea.

Mi najua umetoa mfano wa baba na mtoto hujatoa mfano wa uhalisia, labda kama kikwenu neno uhalisia humaanisha baba na mtoto

Ukiambiwa utoe definition ya baba na mtoto utasema ni uhalisia?

So hicho ni kitu kingine vinginevyo elezea kwa uthibitisho implications za mzazi na mtoto kuhusika kwenye definition ya uhalisia imetoka wapi?
 
Maana yake ukienda kinyume na uhalisia ujue wewe ni mgonjwa wa akili kama ulivyo wewe. Unatakiwa ujenge hoja kwa kile ninachokiandika Mimi. Mfano wa uhalisia ni wewe kuwa mdogo kiumri kuliko baba yako mzazi.

Sasa unarudi kwenye hoja zangu zile zile ambazo nilikuwa naku challenge kwenye madai yako ya kusema Mungu yupo kwasababu ndio uhalisia

Kupitia hayo maneno uliyosema kuwa mimi ni mgonjwa wa akili kwasababu naenda kinyume na uhalisia, unazidi kuthibitisha kuwa swala la uhalisia lina hitaji zaidi kipimo kuthibitisha kuliko maelezo matupu

Umeonesha kwamba ipo nafasi kubwa kwa mtu kudhani yupo sahihi katika maono yake lakini kihalisia akawa amepotoka.

Kwenye maelfu ya dini ambazo zinapingana zenyewe kwa zenyewe ambazo zote zimedai kuwa mafundisho yake ni ya kweli na ukweli huo ni halisia

Niambie unatuelezeaje kuwa dini hizo zote zinaweza kuwa sawa kwasababu zote zimedai ni uhalisia?
 
Hayo ni maelezo yanayo mhusu mzazi na mtoto

Uhalisia ni nini?
Kijana naelekea kukupuuza Sasa, maana naona unaandika ujinga mpaka basim kwahiyo hayo maelezo yanaelezea nini ? Yamekusudia nini hayo maelezo hayana maana ? Kwahiyo wewe unapo toa maelezo juu ya kitu Fulani, kwa mtazamo wako huangalii kilicho elezea ? Sasa kwanini unatoa maelezo ?

Naona nakupa kazi usiyo iweza, kwamba utoe maana ya Uhalisia kumbe hujui ni nini.

Kwahiyo mtoto kuwa mdogo kiumri dhidi ya baba yake si uhalisia bali ni maelezo, Sasa hayo maelezo yameelezea nini ?
 
Mi najua umetoa mfano wa baba na mtoto hujatoa mfano wa uhalisia, labda kama kikwenu neno uhalisia humaanisha baba na mtoto

Ukiambiwa utoe definition ya baba na mtoto utasema ni uhalisia?

So hicho ni kitu kingine vinginevyo elezea kwa uthibitisho implications za mzazi na mtoto kuhusika kwenye definition ya uhalisia imetoka wapi?
Kwahiyo nilicho kiandika siyo uhalisia ? Nimekufundisha namna ya kutoa maana. Kutoa maana kwa mfano, labda kijana hujishighulishi na mambo ya lugha unakuja kutupotezea muda hapa, lakini huko nyuma nilishakupa maana ya uhalisia na kikakufasilia kwa mifano ili uelewe.

Niambie wewe Sasa Uhalisia ni nini maana naona unaruka ruka unakimbia hoja. Sasa mama na mtoto kwa muktadha upi ? Kwamba mama kuwa mkubwa kwa mtoto si uhalisia ? Sasa ni nini na kama ni kitu kingine ni kitu gani hicho. Tuambie.

Baba na mtoto kauli hii haijakaa sawa na haina maana, leta kauli niliyo toa Mimi. Kijana uwe unaweka wazo na kile kinachokusudiwa, usiandike tu ilimradi. Hivi haya unayo yaandika huwa unayasoma ?

Nilichokoandika Mimi ni kuwa Baba kuwa mkubwa kiumri kwa mtoto wake ni uhalisia na ni maana ya uhalisia, Sasa unaposema Baba na mtoto kwenye muktadha gani ? Kwamba baba ni mdogo kuliko mtoto au ? Sasa jifunze kujenga hoja.
 
Sasa unarudi kwenye hoja zangu zile zile ambazo nilikuwa naku challenge kwenye madai yako ya kusema Mungu yupo kwasababu ndio uhalisia

Kupitia hayo maneno uliyosema kuwa mimi ni mgonjwa wa akili kwasababu naenda kinyume na uhalisia, unazidi kuthibitisha kuwa swala la uhalisia lina hitaji zaidi kipimo kuthibitisha kuliko maelezo matupu

Umeonesha kwamba ipo nafasi kubwa kwa mtu kudhani yupo sahihi katika maono yake lakini kihalisia akawa amepotoka.

Kwenye maelfu ya dini ambazo zinapingana zenyewe kwa zenyewe ambazo zote zimedai kuwa mafundisho yake ni ya kweli na ukweli huo ni halisia

Niambie unatuelezeaje kuwa dini hizo zote zinaweza kuwa sawa kwasababu zote zimedai ni uhalisia?
Kijana jifunze kuandika maneno machache na uguse hoja. Uhalisia unahitaji kipimo gani ili ujulikane ?

Uwepo wa jua kuwa juu yetu unahitaji kipimo gani kujua hilo ? Baba kuwa mkubwa kiumri kuliko mtoto kunahitaji kipimo gani kujua hili ?

Uhalisia upo kijana, uhalisia haudaiwi, ndiyo maana hizo si za kweli kutokana na maana ya dini na muelekeo wake.

Kingine uwe unajibu maswali ninayo kuuliza.
 
, maana naona unaandika ujinga mpaka basim kwahiyo hayo maelezo yanaelezea nini ? Yamekusudia nini hayo maelezo hayana maana ? Kwahiyo wewe unapo toa maelezo juu ya kitu Fulani, kwa mtazamo wako huangalii kilicho elezea ? Sasa kwanini unatoa maelezo ?

Hilo ni swali ambalo mimi natakiwa nikuulize wewe unayesema hiyo ni definition

Na ndio maana nimekupa option ya kukurahisishia kuwa unipe source ya ulipo toa maana ya uhalisia
 
Naona nakupa kazi usiyo iweza, kwamba utoe maana ya Uhalisia kumbe hujui ni nini.

Kwahiyo mtoto kuwa mdogo kiumri dhidi ya baba yake si uhalisia bali ni maelezo, Sasa hayo maelezo yameelezea nini ?
Swali lepesi, weka hapa source ya huko ulipotoa maana ya hilo neno uhalisia tuone kama limefafanuliwa kuwa uhalisia ni baba kuwa mkubwa kuliko mtoto
 
Back
Top Bottom