Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

HAMY-D kwa hiyo ww google ndo walikwmbia bmw ya cc1700 ikifunguka crown ikae pemben?? ha ha nimecheka sana kwa hiyo gari za kijapan hazifunguki
 
Hii stori yako kapige kwa waendesha guta na boda boda....nimetoka kuuza Crown Na. DLE Athlete kisa tu kudhalilishwa na W203 kompressor (Benz).

Gari ilinidhalilisha na Crown langu nikaamua kuuza ili ninunue Benz na mimi niwe mbabe barabarani.

Kwa kweli tangu ninunue Benz 203 hadi sasa sikumbuki ni lini nimewahi kudhalilishwa.

Mara ya mwisho nilitoka Arusha kuja Dar kwa masaa 5 tu na ilikuwa usiku.
 
HAMY-D

kwa hiyo ww google ndo walikwmbia bmw ya cc1700 ikifunguka crown ikae pemben?? ha ha nimecheka sana kwa hiyo gari za kijapan hazifunguki
Naongea kwa experience. Ni aibu kufananisha mjapan na gari za Ulaya. Ni aibu mno.
 
Huwez fananisha gar ya mjerumani yoyote na crown au uchafu mwingne wa Toyota....

Kwa experience Yang mwez uliopita nlikua natoka Moshi nkafika same na VW TOURAGE naelekea dar dude la petrol nkaingia panone pale kuweka mafuta ikaja crown na yenyewe uelekeo dar tukajaza akaanza kuondoka tukafatana aisee hakutoboa hata sehem nkamkata alinikuta korogwe total pale nachimba dawa ikabid aje aichek mashine baada ya kutoka pale tena akafangulia nkamkata tena akanikuta msata chimba dawa.

Kuna mwana jf mwingine ana VW GOLF GTI.. alimsababishia Crown Ikarusha maji iyovi huk shaur ya kumfata mnyama gollf


Kimsing huwez fananisha mjerumani yoyote na uchafu Toyota....nasema uchafu wakat sina hata Passo
 
Kwa kifupi unataka kusema Dash board ni danganya toto. Pili tukirudi kwenye Fizikia, speed ni Distance Over Time Taken, sasa hiyo dashborad ya danganya toto utawezaje kuepukana na tochi zetu? Maana itakuwa inasoma 30 kumbe upo 75, na siku hizi ni nyakuanyakua kwa wale yangeyange.
Kuhusu za Kijeremani, mi nimewahi kuona moja ikiwa inasoma 160 ilizipita V8 kama zimesimama vile na zilikuwa zinzwahi msafara. Hapo napo dashboard tunaisingizia. Kwa ytaratibu wa viwango vya kimataifa huwezi danganya kwenye dashboard.
 


ni ujinga kuongea hivo kwan huyo jamaa uliemuacha alikwambia kakukimbiza

mbna my self nikiwa road sizid 90 kwa ajil ya mafuta na usalama wangu sasa huwa vi ist vinanipita kibao inamaana na hao wanajisifu ha ha
 
ni ujinga kuongea hivo kwan huyo jamaa uliemuacha alikwambia kakukimbiza

mbna my self nikiwa road sizid 90 kwa ajil ya mafuta na usalama wangu sasa huwa vi ist vinanipita kibao inamaana na hao wanajisifu ha ha

Mkuu alikua ananikimbiza Ila hakuweza kuiona mashine....
 
namaanisha mshale haufiki pale sijasema ikiwa 80 ni 30 mimi ......germany kule kwenye zile njia za autobhan hakuna spid limit kule unafunguka unavotaka miundo mbinu mizuri but hizo gari mostly hazifiki hiyo speed mfano gari ya 190hp mwisho 235hivi lkn gari inakuja na dash inasoma 280 wakat hata aje nan haifiki ndo hivo namaanisha
 
Itakuwa alikuzidi on the road driving techniques. Wewe ilikuwa unaburuza speed ngapi?
 
Dah....ajabu sana...3200rpm
kisha 140km/h....kuna tatizo
mahali....@rohombaya

ww kibovu unaona ni nini yani speed ndogo sana ukimatch ya rpm au spid kubwa sana
Labda alitaka rpm iwe kwenye 1000
 
Kaka gari kama crown unapishana na hata semitrailer kwa mwendo huo haliyumbi.
 
Mkuu alikua ananikimbiza Ila hakuweza kuiona mashine....
hiyo ww ndo umesema huna uhakika hata mm nilikuwaga mwana sport mzuri sana na roadbike yangu sasa kuna siku nikakutana na mtu ananisalimia kama ananijua ndo akanambia huwa tunachuanaga sana road mi hata simjui kumbe nikitokaga kitaa napanda town na yy muda mwngi anaenda town kwa hiyo ananikimbizaga sana afu mm niko normal kumbe kuna watu wananiwindaga
 
Hapo sawa.
 
Kaka gari kama crown unapishana na hata semitrailer kwa mwendo huo haliyumbi.
Baeleze kabisa, hizi hizi barabara zetu watu wanavuta hadi 200 we unasema Chalinze tuu, tembea ujionee. kwenye 50 tunabana hivyohivyo ngoja tuvuke
 
Nilikuwa nakwenda mpaka 160 km/h,ila ile gari naiheshimu sana inaonyesha engine yake ni kubwa..
 
Naona raia mnadanganyana tu ooh 250,oh nilienda mpaka 160ara siju 235,hahah ngoja kwanza nipate kahawa nitarud
 
Nilifikiri ulikuwa unaendesha BMW au benz sedans, au hata mark x, Carina T.I kimbizana na passo au vitz.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…