Athlete Crown sio gari la kubishana nalo ukiwa barabarani acha liende

Passo nayo ikipata Dereva mzuri inakula mbio, Nakumbuka 2014 tuliitumia toka Dodoma Mbele yetu lilikuwepo basi la Champion tulilipita kwa spidi mithili ya Kimondo.

Passo Mnyamaaaaaaaa!

Ila mimi Mchokozi sana.
Kweli we ni mchokozi, umeipita Champion tuuuu
 
Mi najua tu kuendesha siyajui sana magari ila ni ile iliyofanana umbo kama Niss

Mi najua tu kuendesha suyajui sana magari, kakini ni ile inayofanana na Nissan Murano kwa mbali

VW Touareg hiyo mzee, kibati 260, 280 kph, hapo inategemea ulikutana na ipi.
 
SOARES kwenye magari wewe utakuwa mgeni .....ukiwa na uelewa au uzoefu kidogo utagundua ni ngumu na haiwezekan gari la kwanzia ton 1.3 kuendelea la diesel 190hp kufika 260kph never on earth no matter how a car is geared thenni hivi gari zinatengenezwa na wanakuwa wanalenga masoko tofauti tofauti mfano japan wanalimit zao kwa nchi yao ndo mana most car ziko japan zina dash inasoma 180 jiulze kwann crown ama verosa yenye 1Jz gte na kina mark zenye engine hiyo wakati zinaweza futa 180 kwa sekunde pungufu ya 20 na zinaweza fika had 255+ mwsho sijui ngap lakn zina spid meter inasoma 180?? sababu zile ni spesho for JDM hamna haja ya kuweka dash 200+ wakat japan hawaruhusiwe fikisha hapo !!! hivo ukinunua nyingne kwa ajil ya masoko ya nchi zingne unaweza nunua crown hiyo hiyo but spid meter inasoma 240 ...

pia unapaswa uelewe kitu gari za germany ndo nyingi wanaweka spid meter kubwa sometime gari haufiki lakn hamna toyota isiyoweza fika spid ilioandikiwa kwenye dash sababu 180 constant gari za cc 1300 with 85-90 hp zinafika pia za 1500cc with 107-110hp mfano premio nk zenyewe had. 190 kabisa ...cha ajabu germany ki gari cha cc 1300 no turbo lkn kina dash inasoma 260 ...embu waza kwa sauti kinafikaje wakat kaka zake hawafiki ....??


we chukua hizo gari zenye ma spid makubwa kwa dash then mbele yako au nyuma yako iwe crown 4GR ha ha ha
 
pureView Zeiss althelete ni new model ya wap ?? hizo zote zinatoka pamoja hizo maneno nyuma ya crown ni trim zake althelete ni sport version ya crown hivo ukiwa nayo jua una gari sport kulko crown zngne ..pia royal for luxury hivo jua ukiwa nalo unakuwa na gari ni luxury kuliko mengne mfano kuna royal zina siti nne tu nk
 
nan alikwambia ma prado yanakimbia ?? tena unasema diesel kabisa ha ha ha em nitajie prado inaoeza fata brevis popote zaid ya rafu road !!!! v8 enyew la diesel ile engine ndogo sana 267hp kwa mgari wote ule ...kifupi kwa hp hizo ni wazi gari ya petrol sedan ya kawaida ilio na hata hp 200 tu haifatwi na hiyo v8 sembuse crown 4GR yenye 256
 
Crown gari stable ila haina mbio,ukiwa na rangerover na unatembea,hiyo crown haitaona umepita wapi,vw bmw,benz,audi, hizo ndio gari,hiyo ingine ni jaguar sasa amua mwenyeweView attachment 783972View attachment 783976
nyie watu wa hivi siwaelewagi unamaanisha range ipi maana ziko 2.7TDV6 ,3.0TDV6 na 4.4SDV8 kwa upande wa diesel kwa hizi sport na petrol pia engine kadhaa sasa ww unamaanisha ipi ...maana ukisema range inamaana had hako cha cc2700 na hp zake 190 uipite crown?? bora na hiyo 4.4SDV8 339Hp inajitahd inaweza futa sahan ya 200 kwa sekunde 23
 
Sijui ungepitwa na Pagani Zonda ungekuja kutueleza nini [emoji23]
 
Siku moja tukiwa na hiyo Crown tulitaka ligi na Voksiwagen tulikuwa tunaenda Arusha ilitupita Mkata wala hatukuwahi kuiona had Ieo
Iyo Crown ni Toyota, Nissan au Audi au Volkswagen
 
Kuna kagari kamoja ka ujerumani niliwahi kufukuzana nako kanaitwa Mini cooper mimi nikiwa na vx v8 Land cruiser,kwa kweli kalinitoa jasho,kana pulling ya ajabu yaani ukikaacha mbali within a short time kameshanikuta,hatimaye nikakubali yaishe kakanipita kwa speed ya ajabu...
 
Inamaana wewe unajua zaidi ya wajerumani [Bavarian]
 
Reactions: Cyb
mkuu niuzie hiyo carina TI ujichange upate hiyo crown
 
Mkuu nilikuwa sijui lolote kuhusu hizi crown asante kwa kunipa elimu....vipi kuhusu crown majesta? nalo ni sports car?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…