PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
- Thread starter
-
- #161
Ukiwa unasafiri utajifunza mengi saana njiani kwakifupi kuna magari yako vizuri mno barabarani,haya magari yetu TOYOTA ni ya kawaida mno kwa European carsKuna kagari kamoja ka ujerumani niliwahi kufukuzana nako kanaitwa Mini cooper mimi nikiwa na vx v8 Land cruiser,kwa kweli kalinitoa jasho,kana pulling ya ajabu yaani ukikaacha mbali within a short time kameshanikuta,hatimaye nikakubali yaishe kakanipita kwa speed ya ajabu...
Nipe maelezo kidogo mkuu, nijuavyo mimi speed ya 100km/h ni 100km/h kote koye haijalishi.. Sasa hapo iweje 260 iwe cha mtoto kwa 200!?Speed kasi hutegemea ukubwa wa engine na piston
Gari hata iwe na speedometer inayosoma 260 ila ni 2500 cc v6 haiwezi ifikia 3600cc v6 yenye 200
Asante kwa darasa aisee haya mambo nilikuwa sijui kabisaSOARES kwenye magari wewe utakuwa mgeni .....ukiwa na uelewa au uzoefu kidogo utagundua ni ngumu na haiwezekan gari la kwanzia ton 1.3 kuendelea la diesel 190hp kufika 260kph never on earth no matter how a car is geared thenni hivi gari zinatengenezwa na wanakuwa wanalenga masoko tofauti tofauti mfano japan wanalimit zao kwa nchi yao ndo mana most car ziko japan zina dash inasoma 180 jiulze kwann crown ama verosa yenye 1Jz gte na kina mark zenye engine hiyo wakati zinaweza futa 180 kwa sekunde pungufu ya 20 na zinaweza fika had 255+ mwsho sijui ngap lakn zina spid meter inasoma 180?? sababu zile ni spesho for JDM hamna haja ya kuweka dash 200+ wakat japan hawaruhusiwe fikisha hapo !!! hivo ukinunua nyingne kwa ajil ya masoko ya nchi zingne unaweza nunua crown hiyo hiyo but spid meter inasoma 240 ...
pia unapaswa uelewe kitu gari za germany ndo nyingi wanaweka spid meter kubwa sometime gari haufiki lakn hamna toyota isiyoweza fika spid ilioandikiwa kwenye dash sababu 180 constant gari za cc 1300 with 85-90 hp zinafika pia za 1500cc with 107-110hp mfano premio nk zenyewe had. 190 kabisa ...cha ajabu germany ki gari cha cc 1300 no turbo lkn kina dash inasoma 260 ...embu waza kwa sauti kinafikaje wakat kaka zake hawafiki ....??
we chukua hizo gari zenye ma spid makubwa kwa dash then mbele yako au nyuma yako iwe crown 4GR ha ha ha
Mkuu na wewe unamiliki rav 4 massawe?Ila ka Rav 4 kangu sjui kama mtaweza kukapita
Ndio unavyojidanganya hivyo?Unajua horse power ya range rover v8 ukafananisha Gx 100?Sema ulikuta hilo range linatembea km 60/hour na wewe upo 80km/hour na gari yako Gx 100.Gari yoyote yenye injini ya GX100 ogopa sana.likifungua hata uwe na range rover v8 na uko spidi 200 itakupita kama umesimama na huku yenyewe imeandikwa spidi 180
Naongezea,hapo Dar-Moro ni eneo linaitwa Mwidu,pia usisahau Dodoma-Kondoa kuna sehemu nyingi unaweza kwenda mpaka 180 km/h..Wengi mmeongea kwa hisia tu!Kiukweli kwa barabara zetu huwezi kukimbia zaidi ya kasi ya km 140/saa.Na hapo gari yako inatakiwa iwe katikati ya barabara na huo mwendo hauzidi umbali wa km 15.
Na ni barabara zifuatazokutoka DSM.
Barabara ya Morogoro
Ni kuanzia Chalinze kuitafuta bwawani,hapa unaweza kuona mbele kwa umbali wa km 15 na zaidi pamenyooka sana.
Barabara ya Morogoro -Iringa
Hapa ni kuanzia Sangasanga(njia panda ya kwenda Mzumbe university) kuitafuta kijiji cha doma(kabla hujaingia hifadhi ya mikumi)
na sehemu nyingine ni kuanzia Ruaha mbuyuni(Al Jazira hotel) kuelekea kijiji kimoja kinaitwa mahenge.
Iringa -Mbeya(TANZAM road)
Hapa ni igurusi
Morogoro -Dodoma
Hapa ni kuanzia Kibaigwa kuelekea Dodoma.
Dodoma - Singida
Hapa ni kuanzia manyoni,na ndio sehemu ya pekee kulikuwa na kibao kinachorohusu km100/saa miaka ya nyuma.
Dodoma - Iringa
Hapa unaanzia sehemu moja inaitwa chipogola hadi makatapora (Mpwapwa)
Babati- Arusha
Hapa ni kuanzia Babati hadi Magugu.
Same - moshi(Kilimanjaro)
Hapa ni same na pana upepo mkali sana.
Ndo mungu alichonibariki mkuu roho ya paka hii inaitwaMkuu na wewe unamiliki rav 4 massawe?
Kwa km140/saa mbele yako kusiwe na gari ya kupishana nayo.Naongezea,hapo Dar-Moro ni eneo linaitwa Mwidu,pia usisahau Dodoma-Kondoa kuna sehemu nyingi unaweza kwenda mpaka 180 km/h..
Inamaana wewe unajua zaidi ya wajerumani [Bavarian]
hapana mkuu ...kwan ww utaacha labda boxer yenye hp 12 ila speedmeter inasoma 140 ukafate piki piki ya kichina yenye hp 9 kisa dash yake inasoma 180 ndo ujidanganye utaipita boxer wakat boxer na hp zake hizo 140 haifiki ikiwa stock labda ukorokochoe ndo yenye hp 9 itafikaje sasaInamaana wewe unajua zaidi ya wajerumani [Bavarian]
hapana lenyewe kidogo liko unique Crown Majesta has been aMkuu nilikuwa sijui lolote kuhusu hizi crown asante kwa kunipa elimu....vipi kuhusu crown majesta? nalo ni sports car?
Haka kagari ni hatari sana mkuu,ni cha muingereza baadae kalinunukiwa na bmwKuna kagari kamoja ka ujerumani niliwahi kufukuzana nako kanaitwa Mini cooper mimi nikiwa na vx v8 Land cruiser,kwa kweli kalinitoa jasho,kana pulling ya ajabu yaani ukikaacha mbali within a short time kameshanikuta,hatimaye nikakubali yaishe kakanipita kwa speed ya ajabu...
hahahaSina budi kukaa kimya kwenye uzi wowote wa mwana Jf unao husu Magari ama Degree...[emoji12] [emoji12] [emoji12]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
duuh tena natafuta C hiyo hiyo..!!Kaka maisha yetu ya kuungaunga acha niseti mipango mdogomdogo alafu Ti yangu ni namba C bado lipo vizuri
Sasa wewe utaishi milele?Mnamkumbuka yule mwenzenu wa mark x aliekua anafanya mchezo na barabara za kibongo?
Hawakaputa hata vipande vya kuzika
Bahati nzuri nimewahi kutembea na Crown na pia magari ya mjerumani kama Benz na BMW.MANI hizo speed sijui 260 usidhan kila gari yenye dash hiyo inafika wala usije ukanunua gari yenye ma speed hivo ukaacha jini crown utakuwa unajidanganya .....magari ya germany ndo yalivyo jiulize Audi A4 diesel hp 190 inakuwaje na dash inasoma 260 wakat gari ya uwezo huo au hiyo audi enyewe mwsho 230 imejitahd sana tena kwanzia spid 210 mshale unapanda taratibu had inakwamia hapo lakn ma spid ndo hayo wameweka 260 na ww ukiwa hujielewi unaweza sema inaweza fata crown ha ha ha same thng kwa bmw ya hp 190 diesel pia wameweka had 280 wakat real spd inacheza na 220-235