Attitude ya Harmonize yafikisha views Million 3 ndani ya masaa 27

Naona video imeganda nimeitizama asubuhi masaa matatu yaliyopita bado views 3.2m,ukiona hivyo wanaivalidate kwa hiyo kuna mawili views ziongezeke au zipungue.
 
Safi sana kijana. Pamoja na mambo yote ya Wapinzani wako ila bado anawahenyesha. Nimechungulia muda huu bado ni No 1 trending na viewers 3.2m. WCB na Rayvanny watazimia. Maana pia katika trending nyimbo za Harmonize ndiyo ziko kwa wingi. Jeshi a.k.a Tembo anawakanyaga kwelikweli.
 
Naona video imeganda nimeitizama asubuhi masaa matatu yaliyopita bado views 3.2m,ukiona hivyo wanaivalidate kwa hiyo kuna mawili views ziongezeke au zipungue.
Zitaongezeka. Jana usiku niliona laki 9 plus hivi ila kukawa na malalamiko sana you tube. Hivyo update ya baadaye ni lazima ipande. WCB na Vanny boy watatulia sasa. Jeshi siyo saizi yao.
 
Iyo mistari yako miwili ya mwisho ni migumu sana kwa nchi iliyojaa masikini...
 
Sijaelewa samahani lakini
 
Haya mambo huwa yananishangaza sana unatumia gharama kumuharibia mwenzio ilihali wewe hujawahi fanyiwa huo mchezo hata siku moja........izi roho zetu ni ngumu sana


Hii nyimbo ni another kwangwaru huko mtaani
 
Huu mchezo hauhitaji hasira. Japo wimbo sijaupenda, ila harmonize nampa hongera nahisi VanyBoy anataman kufuta post yake.
Acha ushamba wasafi wanamiliki YouTube? Mbona huwa mnajitoa ufahamu nyie au wewe ni H Baba
 
Mariooo namuonea huruma sana
 
Acha ushamba wasafi wanamiliki YouTube? Mbona huwa mnajitoa ufahamu nyie au wewe ni H Baba
Kuna sehemu nimesema wasafi kumiliko youtube? Unasoma lakini hata huelewi unachokisoma.
 
Hayo makelele mnayoyasema ndio vibe lenyewe hilo ukisikiliza nyimbo za Awilo Longomba anapenda makelele yaani namkubali sana na nimefurahi Konde kushirikiana na Awilo,

#Attitude#
Kweli kabisa awilo alitufanya vichaa kweli kweli miaka ile kwa makelele yake...[emoji3][emoji3][emoji3]umenikumbusha mbali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…