Yani nacheka tu hapa kila nikikumbuka nyimbo za awilo mwanzo mwisho makelele na miaka ile hutuambii kitu aiseee bila makelele bado hujaimba nyimbo ya awilo daaah...............n mashabiki wake ni vichaa kweli kweli mpaka leo huko dunianiWengi wanaolalamika kelele ni wale waliokulia sigimbi huko Awilo wamemjulia kwa Konde Boy,
[emoji3]
Basi nakuachia wewe naona unastahili.Mumeo pia ni OVERRATED waachie PAPUCHI wanaostahili.
Na hata hivyo mpaka kufikia hapo alipo basi dalili kipaji anacho sana maana huwezi kukataa kazi zake vingenevyo unapotezwa tu na hizi team 3 na katika hizi team 3 sababu wanajuwa hakuna kushuka daraja kama Super league wako wako tu hawafanyi kazi ila wanapewa kipaumbele. feel sorry kwa vijana wengi wenye vipaji.Mariooo namuonea huruma sana
Wamuone hapa kwenye Coupe Bibamba,Yani nacheka tu hapa kila nikikumbuka nyimbo za awilo mwanzo mwisho makelele na miaka ile hutuambii kitu aiseee bila makelele bado hujaimba nyimbo ya awilo daaah...............n mashabiki wake ni vichaa kweli kweli mpaka leo huko duniani
Mkuu ww ndo mario nini mbona unatia huruma [emoji23][emoji23][emoji23]Mariooo namuonea huruma sana
Why all this???[emoji2369][emoji2369]Mnachekesha sana sana. Mimi sio mpenzi wa nyimbo za kigogo. Lakini leo nimetazama mwenendo wa YouTube. Nimekuta winbo unao seems umeshuka baada ya watendaji wa YouTube kupunguza watazamaji waliohurudia mara nyingi. Na kuwabakisha kwa wale walio tazama maramoja tu.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]alitugeuza vichaa haswa kwa mikelele yake kwenye hii nyimbo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]Wamuone hapa kwenye Coupe Bibamba,
NdioMkuu ww ndo mario nini mbona unatia huruma [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawezi huo ndio mziki wake alioamua, kwenda nao, sasa hivi wanaona aibu kumwambia Mondi anatumia kiki, maana ata Konde nae mtu wa kikikiki ameitafuta na imemlipa ,amefanikiwa kuitumia kiki vizuri next time ajaribu bila kiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahahahahaha hana team imekula kwakeNyie fans mko unfair sana.
Mpaka sasa Darassa hajafikisha followers 1.5m kwenye Instagram yake!
Hata kama mna matimu mjitahidii kusapoti vipaji.
Yaani muziki sasa hivi ulivyo inategemeana tu uko team gani.Nyie fans mko unfair sana.
Mpaka sasa Darassa hajafikisha followers 1.5m kwenye Instagram yake!
Hata kama mna matimu mjitahidii kusapoti vipaji.
Hahaha Mkuu acha kujitia upofu,Wakuchukua kijiti cha Diamond bado ajaanza kuimba,Hivi unakumbuka balaah la Darasa na Nyimbo yake washa muziki? Au Ali kiba na Seduce Me? Leo wapo wapi ?, na wote hao walipimishwa ubavu na Diamond ila still yupo kwenye ubora wakeKwa sasa ivi Harmonize ndo anachukua kijiti cha king of bongofleva hii ni lazima tuikubali kuna kitu kinaitwa muda na tusisahau kuwa kila kifikacho juu ni lazima kishuke chini zama za Alikiba zilipita alipokuja Diamond na na sas zama za Daimond ndo zinapita ivyo sasa ivi tunaelekea zama za Harmonize naye ataenda baada ya muda za.a zKe zitapita atakuja mwingine hii ndo kanuni ya maisha wala tusikasirike jamani hii ni kanuni ya asili ya dunia huwezi kuibadili ili wewe uwe juu ni lazima mwingine aanguke wala haina aja ya kutafuta mchawi huu sasa ni wakati wa Harmonize
Hili bado ndugu.Kwa sasa ivi Harmonize ndo anachukua kijiti cha king of bongofleva hii ni lazima tuikubali kuna kitu kinaitwa muda na tusisahau kuwa kila kifikacho juu ni lazima kishuke chini zama za Alikiba zilipita alipokuja Diamond na na sas zama za Daimond ndo zinapita ivyo sasa ivi tunaelekea zama za Harmonize naye ataenda baada ya muda za.a zKe zitapita atakuja mwingine hii ndo kanuni ya maisha wala tusikasirike jamani hii ni kanuni ya asili ya dunia huwezi kuibadili ili wewe uwe juu ni lazima mwingine aanguke wala haina aja ya kutafuta mchawi huu sasa ni wakati wa Harmonize
Ndio mnaharibu mziki. Awilo Longomba hayupo popote kwenye ramani ya mziki dunia hii. Halafu mara paaaap ana trend tz!Ahahahahahaha hana team imekula kwake
Hakuna cha kufanya mambo ndivyo yalivyoNdio mnaharibu mziki. Awilo Longomba hayupo popote kwenye ramani ya mziki dunia hii. Halafu mara paaaap ana trend tz!
Mnanyionyesha mlivyo na upeo mdogo kuelewa mziki mzuri na kwenda mbele walimwengu watawashtukia follows zenu la likes zenu za mamilioni ni za kitopolo.
Hahaha Mkuu acha kujitia upofu,Wakuchukua kijiti cha Diamond bado ajaanza kuimba,Hivi unakumbuka balaah la Darasa na Nyimbo yake washa muziki? Au Ali kiba na Seduce Me? Leo wapo wapi ?, na wote hao walipimishwa ubavu na Diamond ila still yupo kwenye ubora wake
NOTE : Washa Muziki na Seduce me zilikua hit songs🎵 🎶
Kuna ngoma aliimba kiistaarabu katika album yake ile, ile mobimba ya mama kama sikosei[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]alitugeuza vichaa haswa kwa mikelele yake kwenye hii nyimbo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119]