Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

IMG-20231126-WA0035.jpg
 
Na-download vipi hii audio?
Watanzania wanafurahia masahibu ya wengine, ni kama watafaidika ikiwa Emma ataingizwa majaribuni.
Pauline Gekul alikuwa chadema na akina maranja masese. Alijitoa huko na kurudi ccm kipindi jiwe na cohorts wake wanawanunua upinzani.
Alipofika ccm, alianza kulamba vyeo mpaka sasa maranja masese anapomuonea gere.
Kama jamaa alifanyiwa ukatili kwa amri ya Pauline, kwa nini hakuenda polisi kushitaki?
Masese acha ugaidi wenu
 
Watanzania wanafurahia masahibu ya wengine, ni kama watafaidika ikiwa Emma ataingizwa majaribuni.
Pauline Gekul alikuwa chadema na akina maranja masese. Alijitoa huko na kurudi ccm kipindi jiwe na cohorts wake wanawanunua upinzani.
Alipofika ccm, alianza kulamba vyeo mpaka sasa maranja masese anapomuonea gere.
Kama jamaa alifanyiwa ukatili kwa amri ya Pauline, kwa nini hakuenda polisi kushitaki?
Masese acha ugaidi wenu
Angeshitaki vipi wakati akiwa ndani (korokoroni)
Jambo moja li wazi, mpaka rais amemtumbua basi kuna kitu! Urais ni taasisi kubwa isiyoendeshwa kwa mihemko!
 
crdb wamemkana Emanuel, my classmet pale bush sek , mwamba alikuwa ni mkimya hata hawez kuongea na mtu.
Alishapata ujanja wa kuongea hadi kutukana.

Usiombe likukute. Hii familia inahitaji faraja siyo wakat wa kushangilia matatizo ya mtu. Kuna Leo kwake kesho kwako
IMG-20231126-WA0013.jpg
 
Yaani AIBU tupu. Emmanuel na dadake sijui ni Ma Graduate wa wapi. Wamekalia majungu na ushirikina. Mganga kamuambia kuna Vijana wawili wametumwa na mbaya wako kuja kuvuruga biashara yako kisha kukuua wewe mwenyewe. Kusikia tu hivyo kamuagiza Dereva wake kuwasha gari na Kumuambia twende nyumbani mara moja. Alipofika akaenda kuwatendea Vijana wale alichowatendea bila hata kuzungumza nao.

Mambo ya kuamini waganga wa kienyeji? Kwa akili hii tu hafai kuwa kiongozi hata nyumba kumi.

Kesho mganga akimwambia uongo mwingine ataenda kutesa wengine. Bila shaka kwa akili hizi ameshaonea wengi wasio na hatia.
 
Back
Top Bottom