Aunt Ezekiel: Tununue bongo movie, movie za mbele hazituhusu

Aunt Ezekiel: Tununue bongo movie, movie za mbele hazituhusu

Ongezeni basi standards kwenye bongo movie.
Hizi changamoto nyingi zinazoendelea Bongo movie wanajitakia wenyewe, achilia mbali wao wenyewe ndio chanzo cha kuporomoka kwa hizo Bongo movie.

Leo hii hata ukiwaita wakwambie ni wapi wanakwama na nini wasaidiwe hawana hata kauli moja, kila mmoja mjuaji, kila mmoja kiongozi sijui ni miujiza gani wanatarajia.

Kuna bodi ya filamu, baraza la sanaa ambazo hata sijui kazi zao ni nini zaidi ya kusubiri kutangaza 'tumefungia movie tano' wao huwa wapo tu bongo movie ife sawa, ibaki sawa...na wadau hawana hata nguvu ya kuwawajibisha coz wao wenyewe umoja hawana, wapo kila mtu na lwake.
 
Watu wengi wanazipotezea bongo movie kwasababu sio wabunifu wanatengeneza kazi mbovu yaani jambazi anavua viatu kuingia kufanya tukio!
20aecc8e906dc6be43d324f47c9fb8f2.jpg
Duh majanga.
 
Tatizo la wasanii wetu hawajui wanachotaka ili bongo movie iuzike.. Ni kama wale wanamuziki waliulizwa wanataka nn wakasema studio. Jk akawapatia..
Soko la movie duniani kote halipo Kwenye CD Bali Kwenye majumba ya cinema.. So wasanii wasitegemee chochote cha ajabu kwa mfumo huu wa kutoa CD na kupeleka Mtaani... Hakuna mwekezaji anayeweza ekeza fedha zake sehemu isiyo na faida.. Cheki wamarekani walipofikia.. Wanauwezo wa kuwekeza bilion 400 na wanauhakika itarudi.
So wasanii wakipata nafasi ya kuonana na serikali wawaombe msaada wa kushawishi wawekezaji zaidi Kwenye majumba ya cinema..
Pili na wasanii wetu pia wawe serious kidogo na kazi yao.. Mara ya mwisho kuangalia bongo movie sijui ni mwaka gani.. Kwa sababu kwanza story ni zile zile. Mtu na demu wake wanasalitiana.. Au uchawi.. No scene zao hazizidi nne.. Yaani chumbani sebleni na baa...
Na kudorora kwa soko ni matokeo ya Wateja kuzichoka movie za bongo... Yaani kwa mtu kama mm ambaye ni mpenzi wa movie hawawezi nishawishi toa fedha yangu tizama movie zao watawashika wasiijua English na bahati mbaya kuna jamaaa wanatafsiri now.. Wasipobadilika kuanzia Kwenye utunzi. Directing and acting wajiandae tafuta kazi nyingine za kufanya
Wajitaidi kama wapopo.
 
Mbn wao pia wanabandika mikucha, kope na kuanza miwigi kichwani kwa nn wasiwe kiasili km wanaona vya nje havituhusu?
 
Yaani nipoteze masaa mawili ya maisha yangu, kuangalia Bongo Movie, kweli?
 
Watu wengi wanazipotezea bongo movie kwasababu sio wabunifu wanatengeneza kazi mbovu yaani jambazi anavua viatu kuingia kufanya tukio!
20aecc8e906dc6be43d324f47c9fb8f2.jpg
Jaman waoneeni huruma hizi nyumba nyingine wanaomba waigizie sasa wanaogopa kuchafua na viatu [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
yani bongo muvi me naona kumejaa vituko tu. hakuna cha mana story zile zile kila siku.
 
3ab36cf6c01efe5e8b0f64ea387bdfeb.jpg


c155259cb9455522576bdb49540e7650.jpg

Huyu jamaa chizi kweli
Yaani niache kuwatizama
Akina t bag watu wa maana

Nitizame jini linaangalia kulia na kushoto ndio anavuka barabara

Jambazi kishoka kakaza sura huku anakunya kisu eti ndio kuonyesha ukauzu,toka lini mtu akanya kisu

Bongo movie ombeni mahouse gal waongezeke ili soko lenu litanuke
WANAMWITA
-THEODORE
-TEDDY
BAG-MAN
-WOLF
BILA THEODORE PRISON BREAK SI KITU AISEE.

TUSUBIRI UJIO MPYA WA PRISON BREAK NEW SEASON MWEZI WA 6 MWAKA HUU

t- bag naye ndaniii [emoji39] [emoji39]
 
Nisiangalie American Sniper??? Haiwezekani
 
Tatizo akili fupi za waigizaji wa kibongo pamoja na madirector wao ndio wanafanya tusinunue movie zao. Yaani ninunue bongo movie nikaangalie jambazi anavua viatu kabla ya kuingia ndan ya nyumba kufanya uhalifu dah!. SIPENDAGI UJINGA MM.Bora niendelee kufaidi series za mbele
Inawezekana pia, huyo jambazi labada alivua viatu ili kunyata na kupanda madirishani kwa urahisi
 
Hivi Kweli niache kuangalia tamthilia za kifilipino niangalie ujinga wa bongo movie.
Wajipange Sana wasanii wabongo na usanii siwezi poteza faru JOHN kwa kununua CD za kibongo
 
Sasa hao ndio tunawaita wanafki.. Yaani kitu hukifahamu na unakizungumzia...
Ila huwa najiuliza mbona waliweza kututeka na maigizo yao ya kipindi kile.. Miaka ya tisini mwishoni..
Na kuna igizo moja waliigizia bagamoyo.. Uigizaji na uongizaji ulikuwa mzuri sana ingawa sikulifwatilia igizo lenyewe ila nilipenda lilivyopangiliwa.. Ila nilikuja fwatilia baadae nikagundua halikuongozwa na wabongo bali wageni...
Nimelisahau jina kidogo ila jamaa alikuwa kiwembe balaa ana afro... Hata sauti ilikuwa poa sana
Kama sikosei ni Siri ya mtungi
 
Kama sikosei ni Siri ya mtungi
Yeeees.. Umenikumbusha ndio yenyewe.. Ukiangalia uigizaji. Uongozaji... Sauti.. Mwanga na ubora wa picha.. Hv bongo movie wakifikia walau level hiya why nisinunue kazi zao... Tatizo wamechukulia poa hiyo tasnia.. Kila mtu akinunua kikamera chake cha harusi basi anafungua production company na kuproduce movie zake...
Anakuwa yeye mhusika mkuu.. Yeye mwandishi.. Yeye mwongizaji na yeye ndiye editor.. Na mbaya zaidi aliingia kwenye fani kijanjajanja hajui chochote.. Hapo unategemea movie inakuwaje...
 
Yeeees.. Umenikumbusha ndio yenyewe.. Ukiangalia uigizaji. Uongozaji... Sauti.. Mwanga na ubora wa picha.. Hv bongo movie wakifikia walau level hiya why nisinunue kazi zao... Tatizo wamechukulia poa hiyo tasnia.. Kila mtu akinunua kikamera chake cha harusi basi anafungua production company na kuproduce movie zake...
Anakuwa yeye mhusika mkuu.. Yeye mwandishi.. Yeye mwongizaji na yeye ndiye editor.. Na mbaya zaidi aliingia kwenye fani kijanjajanja hajui chochote.. Hapo unategemea movie inakuwaje...
A see ile tamthiliya ipo vizuri sana tena sana.
Japo sikufanikiwa kuiangalia mpaka mwisho
Wasipojirekebisha huko mbeleni hii tasnia itakufa kabisa
 
Back
Top Bottom