FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,567
- 4,683
Hizi changamoto nyingi zinazoendelea Bongo movie wanajitakia wenyewe, achilia mbali wao wenyewe ndio chanzo cha kuporomoka kwa hizo Bongo movie.Ongezeni basi standards kwenye bongo movie.
Leo hii hata ukiwaita wakwambie ni wapi wanakwama na nini wasaidiwe hawana hata kauli moja, kila mmoja mjuaji, kila mmoja kiongozi sijui ni miujiza gani wanatarajia.
Kuna bodi ya filamu, baraza la sanaa ambazo hata sijui kazi zao ni nini zaidi ya kusubiri kutangaza 'tumefungia movie tano' wao huwa wapo tu bongo movie ife sawa, ibaki sawa...na wadau hawana hata nguvu ya kuwawajibisha coz wao wenyewe umoja hawana, wapo kila mtu na lwake.