Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
😀😁😃😃Nakala kwa :Lucas Mbwa Wa Shamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😁😃😃Nakala kwa :Lucas Mbwa Wa Shamba.
Sheria na kanuni zikifuatwa kuna ukamataji utatokea kama wanavyosema hapo!!??Silioni tatizo kama sheria na kanuni zilifatwa.
Tanzania kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji; wawindaji kuruhusiwa kuua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee
Tanzania inakusudia kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji, ambapo wawindaji wataruhusiwa kuwaua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee. Mnada huo unakusudiwa kuzalisha TZS bilioni 69.6, na 25% ya fedha hizo zitaelekezwa kuzisaidia jamii zinazoishi jirani na vitalu hivyo.www.jamiiforums.com
Mbona unatetea vitu usivyo vijua wwSilioni tatizo kama sheria na kanuni zilifatwa.
Tanzania kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji; wawindaji kuruhusiwa kuua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee
Tanzania inakusudia kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji, ambapo wawindaji wataruhusiwa kuwaua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee. Mnada huo unakusudiwa kuzalisha TZS bilioni 69.6, na 25% ya fedha hizo zitaelekezwa kuzisaidia jamii zinazoishi jirani na vitalu hivyo.www.jamiiforums.com
Msimamizi (Mhifadhi mkuu) mwenyewe ni kada wa CCM, msanii wa nyimbo na pia aliwahi kuwa mbunge viti maalumu kwanini WIZI usifanikiwe na yeye anajinasuaje na tuhuma hii ya utoroshaji wa nyara za serikali?
Aibu sana serikali hii, scanner za uwanja wa ndege JNIA ai KIA kushindwa kubaini kilichofungashwa ndani ya mzigo!
Mhifadhi mkuu ?? Sio kweli! Tulia soma vzr mkuu .
Okay ukweli unaaza kujidhihirishs SS 🤣 , Ina maana ushindi wa Jana ni wa sa100 na Sio timu ya Mpira🤣🤣Kwanza mnaosema sema waarabu humu, ilifaa muwashukuru, jana wamemwekea heshima mama Samia kuwawachgia muingie Afcon.
Mkwe jambaziWaziri wa utalii alikuwa nani
Kwani SS ivi ameamua kustaafu?Zamani zilikuwa kazi za Makamu wa Mwenyekiti wa chama. Mzee wa Tusker
Ebu tupe sheria ya uuzwaji wanyama pori kama kweli wametoka tz na pia tupate statistics za mwaka na mapato yaliyopatikanaKwani haikufatwa sheria?
Siku hizi Austria ni ya Waarabu?
Nchi tamu sn hiiHatari sana..
Pamoja na kupewa KiA pia wamekabidhiwa hifadhi Ngorongoro, Loliondo
Sahivi mali hazina mwenyeweEnzi za Kikwete part2 zimerudi kwa kasi sana.
faizafoxy anafurahia tu
Mbona kwa wakina dr.slaa mlisema ni uhaini inamaana mlikuwa hamjui uhaini ni nini!!??Hakuna uhujumu wowote hapo, unafahamu maana ya uhujumu uchumi wewe?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga? Som hii nini?:
Tanzania kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji; wawindaji kuruhusiwa kuua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee
Tanzania inakusudia kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji, ambapo wawindaji wataruhusiwa kuwaua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee. Mnada huo unakusudiwa kuzalisha TZS bilioni 69.6, na 25% ya fedha hizo zitaelekezwa kuzisaidia jamii zinazoishi jirani na vitalu hivyo.www.jamiiforums.com
Kwanza mnaosema sema waarabu humu, ilifaa muwashukuru, jana wamemwekea heshima mama Samia kuwawachgia muingie Afcon.
Wewe nae akili zako sijui zipogo niolikama!!?Kwani haikufatwa sheria?
Siku hizi Austria ni ya Waarabu?
Utafika wakati kuna jamii tutaikwepa kupewa uongozi, wapo legelege kusimamia rasilimali za nchiSahivi mali hazina mwenyewe
Mkuu wewe unashangaa kuwa Simba watu wanaua TemboHao wakaguzi wa kizungu wametushangaa sana inakuwaje tunaruhusu kuawa kwa simba mkubwa kama vile.
Inasikitisha sana.
Kama scanner za KIA na viwanja vingine hazijahujumiwa basi hizo nyara za serikali zisingeondoka Tanzania pia vibali vyote vyatakiwa kuwa ni vibali sahihi.Silioni tatizo kama sheria na kanuni zilifatwa.
Tanzania kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji; wawindaji kuruhusiwa kuua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee
Tanzania inakusudia kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji, ambapo wawindaji wataruhusiwa kuwaua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee. Mnada huo unakusudiwa kuzalisha TZS bilioni 69.6, na 25% ya fedha hizo zitaelekezwa kuzisaidia jamii zinazoishi jirani na vitalu hivyo.www.jamiiforums.com
Ndiyo hivyoUtafika wakati kuna jamii tutaikwepa kupewa uongozi, wapo legelege kusimamia rasilimali za nchi