Australia wakamata ngozi halisi za Simba na Chui zilizotengenezwa kama mazulia kutoka Tanzania. TAWA yasema inafanya uchunguzi

Australia wakamata ngozi halisi za Simba na Chui zilizotengenezwa kama mazulia kutoka Tanzania. TAWA yasema inafanya uchunguzi

Dada una tatizo gani kwani? Uwindaji wakuruhusiwa ni tofauti na ujangili. Tayari TAWA inasema haijatoa kibali. Unafikiri wengine hatujui kuna uwindaji halalo kwenye mipaka ya Tanzania?
 
Always nimekuwa napinga sana Trophy Hunting.

Matokeo yake ndio haya.
 
Msikae mnadanganyana hapa. Biashara ya kukausha wanyama ni halali kabisa Tanzania:

1694186382865.png

1694186426831.png
 
Hii post unayoi-copy kwa wadau bado ina walakini, kuna uharamia ktk ruhusa hii pia.

Wacha kutetea upuuzi
 
Hii post unayoi-copy kwa wadau bado ina walakini, kuna uharamia ktk ruhusa hii pia.

Wacha kutetea upuuzi
Uharamia ukiuona uripoti polisi, kuwa raia mwema.

Hata vatikano kuna uharamia, siyo ajabu hiyo.
 
Parcel moja limekamatwa kwa bahati nchi moja. Mangapi yanapita kwenda uarabuni?

Sasa hivi wana airport zao Mbugani, tunawapa ma Bandari tutegemee ya kulevya ya kulevywa, silaha, kuongezeka zaidi nchini.
 
Kusema sio ajabu umekosea sana ijapo kuwa huta kubali kukiri
Siyo kusema tu, hiyo siyo biashara haramu labda utake kuifanya kuharamu kwa ujinga tu au kukwepa kodi za serikali.

Katazame post #154 nimewqeka mpaka ushahidi kuwa hiyo ni biashara halali kabisa kwa Tanzania.

Siku hizi sijuwi kama Dar bado wapo, lakini Arusha na Mwanza najuwa wapo, duka la Mwanza tena wana ngozi nzuri sana za nyoka, kenge, na wanyama wengine:

1694191003557.png




Tusikae tundanganyana JF, tuelimishane vya halali na haramu.

Mali asili za wanyamaporini biashara kubwa ya halali Tanzania.
 
Back
Top Bottom