darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,101
- 18,055
Acha kupotosha habariWaarabu wamepewa KIA hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupotosha habariWaarabu wamepewa KIA hakuna namna
Sio kidogoWaarabu ni majangili
Waarabu ni majangili
Huyo dada kajaa udini ni wa kupuuzwa, wenye mamlaka husika wanasema hawajatoa vibali wapo kwenye uchunguzi yeye anadai ni wanyama ambao wameuawa kihali kwa baraka za wenye mamlaka. Kuna shida mahali kwa mwezetu huyu.Dada una tatizo gani kwani? Uwindaji wakuruhusiwa ni tofauti na ujangili. Tayari TAWA inasema haijatoa kibali. Unafikiri wengine hatujui kuna uwindaji halalo kwenye mipaka ya Tanzania?
siku hizi umekuwa huna akili wewe mzeeKwanza mnaosema sema waarabu humu, ilifaa muwashukuru, jana wamemwekea heshima mama Samia kuwawachgia muingie Afcon.
Wewe utakuwa muongo bila shaka, maana unajitahidi kudanganya kuwa hilo jambo ni halali, wakati mamlaka pekee inayotoa vibali (TAWA) imesema haikuhusika, meaning itakuwa ni biashara haramu.Sasa wamescan, si lazima walinde usalama wa kwao? Au?
Hakuna ushabiki, usiwe mjinga, Tnzania tuna sheria inayoruhusu kuwinda na kuwakausha wanyama na kuwasafirisha.
Tuna sheria mpaka ya kusafirisha wanyama wakiwa hai. Tusiwe wajinga.
Kuna vyura tumepeleka USA tena tunavilipia kuwekwa huko. Au ulikuwa hujazaliwa bado? Soma kuhusu vyura wa kihansi.
Usifikiri watu wote tu wajinga kama wewe, hata sheria za kwenu huzijuwi.
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Yatoa Ufafanuzi.
Kuhusu video hiyo, zaidi soma Australia wakamata Simba na Chui waliouawa na kusindikwa kutoka Tanzania
View attachment 2743023View attachment 2743022
Serikali ingewapa kakipande ka ardhi ili wasiitangaze hii taarifa.Ni nyara za Serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe tamko. Tazama video.
UPDATE
TAWA kuchunguza Nyara za Serikali kukamatwa Australia
View attachment 2743103
View attachment 2743104
Kanisome tena nilichoandika.Wewe utakuwa muongo bila shaka, maana unajitahidi kudanganya kuwa hilo jambo ni halali, wakati mamlaka pekee inayotoa vibali vya hilo imesema haikuhusika..
👇
Wanyapori wote ukitaka kuwinda unachukuwa kibali, tena kuna vijiji wamerahisishiwa unachukuwa kibali serikali ya kijiji tu.Wiki hii kuna wanakijiji wamehukumiwa vifungo vya miaka 30 jelq kwa kukutwa na kilo kadhaa za nyama pori. Huu ni uonevu.
Wewe unazo inatosha.siku hizi umekuwa huna akili wewe mzee
Mzee wa meno ya ndovu anaendekea na asili yakeNi nyara za Serikali zilizokamatwa kwenye makasha makubwa kwenye uwanja wa ndege nchini Australia, inasemekana zimepakiwa kutoka KIA nchini Tanzania, nani anahusika na uhujumu huu? Serikali itoe tamko. Tazama video.
View attachment 2743460
UPDATE
TAWA kuchunguza Nyara za Serikali kukamatwa Australia
View attachment 2743103
View attachment 2743104
Biashara ya madini ni halali, lkn ukiifanya bila vibali inakuwa jinai..Kanisome tena nilichoandika.
Mamlaka ipi inayotowa vibali na wapi inesema kuwa hiyo biashara haramu?
Sasa ingekuwa sheria imefuatwa mzigo ungesafirishwa kwa kufichwa jamani?Silioni tatizo kama sheria na kanuni zilifatwa.
Tanzania kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji; wawindaji kuruhusiwa kuua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee
Tanzania inakusudia kuendesha mnada wa vitalu vya uwindaji, ambapo wawindaji wataruhusiwa kuwaua Tembo, Simba na wanyama wengine wazee. Mnada huo unakusudiwa kuzalisha TZS bilioni 69.6, na 25% ya fedha hizo zitaelekezwa kuzisaidia jamii zinazoishi jirani na vitalu hivyo.www.jamiiforums.com
Kuna utetezi mwingine usio na mantiki. Umeona hata hao Wahusika na wasimamizi (TAWA) hapa kwetu nchini wanasema kuna uwalakini. Japo walitakiwa wao kuwa wafuatiliaji toka hapa nchini si kusubiri kitu kikamatwe.Kwani haikufatwa sheria?
Siku hizi Austria ni ya Waarabu?
Sasa ingekuwa sheria imefuatwa mzigo ungesafirishwa kwa kufichwa jamani?
Kauli hizi umsononesha sana shehe mwaipopo kajipa usemaji wa waarabu nchini.