Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapewa na maboss wake, ambao nao pia hawana utimamu wa akiliKama mtu hana utimamu wa akili anapewa gari na nan
Magufuli alimkalipia sana yule waziri ambae mke wake alivunja sheria za usalama!Anapewa na maboss wake, ambao nao pia hawana utimamu wa akili
Wahuni tu wale vijana wanaoendesha ni wa kuchakata makofiGari yeyeto ya serikali ikiwa na haraka sababu ipo kwenye operation maalumu au tukio la haraka si huwa ina utaratibu wake barabarani. Mfano taa, au speaker, nk nje ya hapo ni uhuni tu
HUKUMWAMBIA Yule dogo wa kawe? Si niliwatangazia MSIWE MNABEBA SILAHA?Pole mkuu ndio maisha, tuchukuliane
Tena wakiziba njia hawataki kupisha hawa jamaa dawa niwatia cha ndosiGari yeyeto ya serikali ikiwa na haraka sababu ipo kwenye operation maalumu au tukio la haraka si huwa ina utaratibu wake barabarani. Mfano taa, au speaker, nk nje ya hapo ni uhuni tu