Awamu hii kama una silaha usitembee nayo. Utawala wa kambare, kila mtu anasharubu. Unaweza jikuta unaua mtu bure

Awamu hii kama una silaha usitembee nayo. Utawala wa kambare, kila mtu anasharubu. Unaweza jikuta unaua mtu bure

Gari yeyeto ya serikali ikiwa na haraka sababu ipo kwenye operation maalumu au tukio la haraka si huwa ina utaratibu wake barabarani. Mfano taa, au speaker, nk nje ya hapo ni uhuni tu
 
Anapewa na maboss wake, ambao nao pia hawana utimamu wa akili
Magufuli alimkalipia sana yule waziri ambae mke wake alivunja sheria za usalama!
Na ile ilikuwa salamu kwa viongoz na madereva wa serikali
 
Gari yeyeto ya serikali ikiwa na haraka sababu ipo kwenye operation maalumu au tukio la haraka si huwa ina utaratibu wake barabarani. Mfano taa, au speaker, nk nje ya hapo ni uhuni tu
Wahuni tu wale vijana wanaoendesha ni wa kuchakata makofi
 
Gari yeyeto ya serikali ikiwa na haraka sababu ipo kwenye operation maalumu au tukio la haraka si huwa ina utaratibu wake barabarani. Mfano taa, au speaker, nk nje ya hapo ni uhuni tu
Tena wakiziba njia hawataki kupisha hawa jamaa dawa niwatia cha ndosi
 
Back
Top Bottom