Awamu ya 5 ilifikiria nini kukataza watu kumuombea Tundu Lissu?

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.

1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?

2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.

Ongewezea na wewe
 
Chadema wenyewe mbona wanagomea shughuli za kitaifa kibao tu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli alikuwa shetani na sasa yupo motoni analipwa uovu wake wote.

 
Muombeeni sasa hamjachelewa, so shida ni maombi.
Always idiot think TL is God or God chosen . He is just a mere Small human like you.
 
Shetani wao anaoza huko kaburini. Lisu bado anadunda.
 
Shetani akitatawala na ushetani unatamalaki. Na sifa kubwa ya shetani ni woga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…