42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Haya maneno mnayatumia sana kumlinda shetani wenu. Ameshaondoka jamani.Kuwa Hai si kigezo cha kuwa ana Mungu, mambo ya Mungu yasihusishwe na siasa, waovu na wema watoka kwa Mungu
Ujue " Hata shetani bado yuko hai"
Maana yeye alijiona ataishi milele.