Awamu ya 5 ilifikiria nini kukataza watu kumuombea Tundu Lissu?

Awamu ya 5 ilifikiria nini kukataza watu kumuombea Tundu Lissu?

Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.

1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?

2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.

Ongewezea na wewe
Ndiyo ujue kuwa Askofu Mwingira, alipotamka kuwa Ikulu ilikuwa inaongozwa na shetani, alikuwa na hoja

Hivi mtawala wawezaje kuwakataza watu wanaopenda wenyewe kumuombea mgonjwa wao Ili apone?
 
Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.

1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?

2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.

Ongewezea na wewe
Alikuwepo shetani ikulu....by Askofu Mwingira
 
Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.







1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?







2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.



Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
THE GUILTY ARE AFRAID
 
Mbona Freeman Mbowe hamumuombei?

Au mmekatazwa na awamu ya 5?!!
Unazeeka vibaya au mwaka umeanza vibaya mwenzetu? Kwamba huoni picha na video za maombi mpaka Polisi Mwanza wakaingia Kanisani? Hujaziona maombi mahakamani kabla ya Mahakama kuanza?
Mungu hadhihakiwi, na biblia imeandika, "Mimi ni Mungu mwenye wivu.....". Mungu hawezi kukaa kimya anapoona kikundi cha watu eti Kwa vile kina mamlaka ya kidunia kinazuia watu wanaotaka kumtukuza.
 
Unazeeka vibaya au mwaka umeanza vibaya mwenzetu? Kwamba huoni picha na video za maombi mpaka Polisi Mwanza wakaingia Kanisani? Hujaziona maombi mahakamani kabla ya Mahakama kuanza?
Mungu hadhihakiwi, na biblia imeandika, "Mimi ni Mungu mwenye wivu.....". Mungu hawezi kukaa kimya anapoona kikundi cha watu eti Kwa vile kina mamlaka ya kidunia kinazuia watu wanaotaka kumtukuza.
Maombi siyo matangazo!
 
Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.

1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?

2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.

Ongewezea na wewe
Ilikuwa serikali ya kishetani; natumaini yule Lusifa wao wa Chato anakipata cha moto kuzimu
 
Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.

1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?

2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.

Ongewezea na wewe
Usisahau mama alikuwa makamu wa rais, kazi inaendelea
 
Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.

1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?

2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.

Ongewezea na wewe

Ndiyo iliyokuwa ikiendesha huo uharamia.
 
Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.

1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?

2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.

Ongewezea na wewe

Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.

1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?

2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.

Ongewezea na wewe
kiongozi wa malaika alikuwa akiuogopa Mkono wa Mungu kwa maana alijua "Maneno na Matendo havifanani"
 
Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.

1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?

2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.

Ongewezea na wewe

Hapa ndipo Mwingira anakuwa sahihi!
 
moto na pepo ni mali ya mwenyezi Mungu..kuingia peponi au motoni ni uamuzi wa Mwenyezi Mungu based on matendo yako ambaye yeye pia ndie anayajua...
Ikiwa ndivyo hivyo basi Abu Jahal, Kaini, watu wa Lut na Farao nao wako peponi au si ndio?
 
Back
Top Bottom