Wacha funza wafaidi lile libichwa na likidevuWakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.
1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?
2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
Ongewezea na wewe
Na yule Bashite mtoto wake mwenye hips na makalio makubwa alienda kulia kanisani akiomba aombewe kama baba yakeAliyekuwa analazimisha kuombewa yeye, aliona wivu kwa watu kujitolea kwa hali na mali kumuombea Lisu,
Alitaka aombewe yeye kwa lazima
Watu wakamshtukia badala ya kumuombea wakawa wanamchekaNa yule Bashite mtoto wake mwenye hips na makalio makubwa alienda kulia kanisani akiomba aombewe kama baba yake
Halafu anaenda madhabahuni anasema MNIOMBEE.Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.
1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?
2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
Ongewezea na wewe
Nashukuru mno kuwa hili Sasa limetimia.Siku moja Tanzania itakuwa huru tena
Hatusahau pia kuwa alikuwa anafanya kazi katika mazingira magumu kiasi ganiUsisahau mama alikuwa makamu wa rais, kazi inaendelea
kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi?
Haikutaka kuchanganya dini na siasa.😅Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.
1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?
2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
Ongewezea na wewe
Watu waliomba kimyakimya baada ya kukataliwa,majibu yakapatikana tar 17march2021.Jibu awali
Who said that and Where is it written that TL is God or God chosen? Hapo kwenye "Always mpaka kwenye think" kuna matatizo ya kiingereza.Muombeeni sasa hamjachelewa, so shida ni maombi.
Always idiot think TL is God or God chosen . He is just a mere Small human like you.
Acha utani Mzee Mgaya!Mbona Freeman Mbowe hamumuombei?
Au mmekatazwa na awamu ya 5?!!
Unasemaaa!!!! "Always idiot think?"Jama! Jama! Kiingereza cha wapi hiki?Muombeeni sasa hamjachelewa, so shida ni maombi.
Always idiot think TL is God or God chosen . He is just a mere Small human like you.
Magufuli alikuwa balozi wa shetani hapa Tanzania.
Mtamuombeaje mtu muongo baradhuli? Mwenyewe anadai jpm ndio kampiga risasi huku hana ushahidi wowote? Mtu mchochezi yuko tayari kutumika hata kuuza nchi, huyo ndio lissu.Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.
1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?
2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
Ongewezea na wewe
Mkuu wewe unaona kuwa siku hizi ni shughuli za Serikali? Au haujui maana ya neno Serikali!!
Labda anaefikiri kwa kutumia makalio ndiye anaweza kuja na jibu kama hili.
Binafsi nilikuwa namuombea afe kabla ya kumaliza muda wake. Mungu amesikia DUA zanguHalafu mwenyewe kila akipata nafasi ya kuongea in public utasikia MNIOMBEE! Ubinafsi wa ajabu kabisa.