Chozizwa2020
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 912
- 853
Mkuu mbona haziba!!! hakuna anayezani TL ni Mungu au chaguo lake. Watu Anataka kuona HAKI ikitendeka na hasa kwa mtu wa kiwango cha Mbunge, wapo ona hata mbunge hatendwe hiyo HAKI, sasa sisi akina wali pakavu 😇😇😇Muombeeni sasa hamjachelewa, so shida ni maombi.
Always idiot think TL is God or God chosen . He is just a mere Small human like you.
Mkuu hivi hadi leo hujatambua kuwa siasa ni kila kitu katika maisha ya binadamu, kwa maendeleo ama ufukara. Ili Nchi iendelee inahitaji Viongozi Bora ambao watasimamia Siasa Safi iliyokubaliwa na wananchi (KATIBA) kinyume inakuwa hujitambuiMtamuombeaje mtu muongo baradhuli? Mwenyewe anadai jpm ndio kampiga risasi huku hana ushahidi wowote? Mtu mchochezi yuko tayari kutumika hata kuuza nchi, huyo ndio lissu.
Pia ni namna ya cdm kutaka kila tukio kufanyia siasa huku wakipanga matukio ili wafanye siasa.
Kwa hari aliyokuwa amefikia Lissu alifaa afungwe kifungo cha mda usio julikana.Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.
1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?
2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
Ongewezea na wewe
Ongewezea.Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.
1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?
2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
Ongewezea na wewe
Ndivyo mlivyodanganywa na mungu wenu magufuli?hujui kuwa jpm alikuwa mwongo Sana Kama alivyokudanganya eti uchumi unakua kwa asilimia 7 kumbe hata 4 haujafikaKwa hari aliyokuwa amefikia Lissu alifaa afungwe kifungo cha mda usio julikana.
Alitumika vibaya Sana.
Ila kwa sasa asamehewe.
Wewe ulikatazwa?? Kuna haja ya kupima akili ya baadhi ya watanzania.Wajinga na wapumbavu kama mleta mada yameongezeka.
Kwani watu waovu na wakatili wakifa wanaenda wapi kama si motoni...Ilifika ukamkuta motoni?
Zero brain
Ushahidi wako uko wapi kwa yote uliyoongea hapa, usiokoteze maneno.Mtamuombeaje mtu muongo baradhuli? Mwenyewe anadai jpm ndio kampiga risasi huku hana ushahidi wowote? Mtu mchochezi yuko tayari kutumika hata kuuza nchi, huyo ndio lissu.
Pia ni namna ya cdm kutaka kila tukio kufanyia siasa huku wakipanga matukio ili wafanye siasa.
Wewe hukuwa na masikio na macho?Ndivyo mlivyodanganywa na mungu wenu magufuli?hujui kuwa jpm alikuwa mwongo Sana Kama alivyokudanganya eti uchumi unakua kwa asilimia 7 kumbe hata 4 haujafika
Lisu akikosoa hapo anamiminiwa risasi na kuonekana ni adui wa taifa.Ndivyo mlivyodanganywa na mungu wenu magufuli?hujui kuwa jpm alikuwa mwongo Sana Kama alivyokudanganya eti uchumi unakua kwa asilimia 7 kumbe hata 4 haujafika
Simple, walihusika wao kumpiga risasi. Jiwe kafilie kwa mbali, acha uoze mafunz wakutafune pumbavu!Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.
1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?
2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
Ongewezea na wewe
Alikuwa halipwi?Hatusahau pia kuwa alikuwa anafanya kazi katika mazingira magumu kiasi gani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Alikuwa halipwi?
Kuwa Hai si kigezo cha kuwa ana Mungu, mambo ya Mungu yasihusishwe na siasa, waovu na wema watoka kwa MunguShetani wao anaoza huko kaburini. Lisu bado anadunda.
Huyu mama anastahili kupongezwa sana. Kuwa mvumilivu wa kilichokuwa kinaendelea na hana uwezo wa kukithibiti mpaka kudra zilipotuangukia waTZ anastahili pongezi nyingi sana. Unaweza kulipwa lakini haiondoi ukweli kuwa alikuwa katika kipindi kigumu kama wengi wengine😅😅😅😅Alikuwa halipwi?
Haina haja tena maana waliyetaka alipe kwa dhambi aliyotenda tayari Corona imeshafanya kazi yake...Muombeeni sasa hamjachelewa, so shida ni maombi.
Always idiot think TL is God or God chosen . He is just a mere Small human like you.
Kapigwa risasi ngapi?Mbona Freeman Mbowe hamumuombei?
Au mmekatazwa na awamu ya 5?!!