Haya maneno mnayatumia sana kumlinda shetani wenu. Ameshaondoka jamani.Kuwa Hai si kigezo cha kuwa ana Mungu, mambo ya Mungu yasihusishwe na siasa, waovu na wema watoka kwa Mungu
Ujue " Hata shetani bado yuko hai"
Ni ushetani na roho mbaya ya mwenyekiti waoWakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.
1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?
2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
Ongewezea na wewe
Inawauma Sana hiyo!Shetani wao anaoza huko kaburini. Lisu bado anadunda.
Usimuhusishe Mungu na mambo ya kijingaHaya maneno mnayatumia sana kumlinda shetani wenu. Ameshaondoka jamani.
Maana yeye alijiona ataishi milele.
Aliyebaki amemfanyia nani ushetani?Usimuhusishe Mungu na mambo ya kijinga
Huyo aweza kuwa alikuwa shetani
Na aliyebaki hai akawa shetani pia
Asante sana mkuu. Pamoja sanaMkuuuuu, hukuwa PEKE YAKO!
Ni ROHO ya KISHETANI ya WaliokatazaWakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.
1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?
2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
Ongewezea na wewe
Angeachia ngaziHuyu mama anastahili kupongezwa sana. Kuwa mvumilivu wa kilichokuwa kinaendelea na hana uwezo wa kukithibiti mpaka kudra zilipotuangukia waTZ anastahili pongezi nyingi sana. Unaweza kulipwa lakini haiondoi ukweli kuwa alikuwa katika kipindi kigumu kama wengi wengine😅😅😅😅
Sawa. Ndio ameshaachia ngazi toka mwezi wa tatu, Sasa hivi sio makamu wa rais tenaAngeachia ngazi
Shetani aliyekuwepo ikulu ndiye alozuia wabunge kwenda kumuona Lema pia ndio alihusika kumpiga risasi Lissu.Wakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.
1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?
2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
Ongewezea na wewe
Kweli kuna vilaza ambao ubongo wao ni Kimba tupu! sasa hapa kuna uhusiano gani na swali!!
Watu wanasali novena wewe unasema nini! Haa!Mbona Freeman Mbowe hamumuombei?
Au mmekatazwa na awamu ya 5?!!
Mfano siku ametangazwa hakuna watu kupiga mziki kunywa bia nyama choma. Majuzi hapa nimetoka kuzika mdogo wangu Ila mie sijawakataza kufanya Mambo YaoWakati kina Askofu Mwingira wanafunguka,nami nimewaza kitu.
1. Hivi awamu ya tano ilifikiria nini kukataza watu wasimuombee Lissu uzima baada ya kupigwa risasi? Iliitishwa pia albadri kuombea mabaya wote waliompiga Lissu risasi,serikali ikapiga marufuku. Ilikuwa na interest gani na hayo maombi?
2. Hivi awamu ya tano ilikuwa na maana gani kuwakataza wabunge wa CCM kwenda kumuona G.Lema mahabusu. Daaaah.
Dk.Kafumu na wenzie walishawahi kueleza hili kwamba kamati yao ilikatazwa kumuona mjumbe mwenzao gerezani.
Ongewezea na wewe