Awamu ya tano kulikuwa na Tundu Lissu Mmoja, awamu hii kuna akina Tundu Lissu 1000

Mikataba inazuiliwa BUNGENI, ni ujinga kuhisi unaweza kuzuia mkataba kwa kuita waandishi wa Habari.
Sio kuzuia bali kuonesha serikali na ccm kwamba Wananchi hawaitaki mikataba ya kilaghai
 
Viva Bonface Mwabukusi Waikili msomi ulieapa kufa kwa ajiri ya Mali za Tanganyika, mwamba sana. Hakuna kuuzwa Bandari kwa DP World!
 
Huyo mwamba hayuko pekeake!

Ana watu wazito nyuma yake! Sidhani kama pale usalama wanakubaliana na huu mktaba wa kipumbavu namna hii
Usalama si ndio wenye nchi. Na wenye ndio boss wao pale juu? Inabidi wakubali tu hakuna namna
 
Ludism movement, mystery leader ni kama kisa cha panya kumfunga paka kengele
 
Uzuri safari hii kina tundu lisu wapo kwanzia makanisani hadi kwwnye vyama vyao sisi wa mtaani ndo usiseme
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…