AY akiri kumiliki nyumba Marekani

AY akiri kumiliki nyumba Marekani

Huu uzi nimeusoma kwa sauti za waliokuwa wanabishana!
yani nimejikuta naziskia ,nyingine besi nyingine iko calm ,nyingine inafoka mpka kugonga meza!
mbishani mwingine anaondoka ,anajikuta kasharudi! mara anasepa huku anapunga mikono juuu like we niiiiiiiwi wewe huna unachojijua!
AHHAHAHAHAHAHA hataaaar!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eti nyingine inafoka mpaka kugonga meza hahaha
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech (corrected: Ifunda Tech) anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!

Mbona mapovu hivyo? Alikutenda nini? Msamehe uwe na amani moyoni usikiapo jina lake au habari inayomhusu🤠.
 
It is very very bad mtu kutumia UONGO kujitafutia kick za namna hii!

Na uongo kama huu unapohusishwa na mtu kama AY,inaonesha how stupid he is!

Why can't people be honest?

The median home value in Los Angeles is $682,600!Uniambie kuna shows ngapi AY kafanya tangu anaanza mziki 2003 mpaka leo kapata hiyo hela?

Biashara gani za AY proven,zenye records na muweke evidences hapa.Na sio maneno ya mdomoni tu.

Lies spotted ni hizi:

1.AY kulipwa show moja milioni 150
2.AY kuwaleta wasanii wa USA nchini Tanzania (anaejua process ya CMG kuleta wasanii wa marekani nchini anaweza kuweka ukweli hapa maana Eve,Fat Joe,50 cents,Busta Rhymes,Ricky Ross,etc wote waliletwa na CMG,na AY can not teach Clouds on anything about this)
3.etc

All these are pure lies!
Manager Sallam (mtanzania) alipewa dili la uwakala na CMG kumleta Tanzania mwanamziki Jay Martin (mnigeria) kutoka Nigeria.
Inawezekana pia AY alitumika kama wakala kupitia CMG kuwaleta wasanii hao aliowataja
 
Manager Sallam (mtanzania) alipewa dili la uwakala na CMG kumleta Tanzania mwanamziki Jay Martin (mnigeria) kutoka Nigeria.
Inawezekana pia AY alitumika kama wakala kupitia CMG kuwaleta wasanii hao aliowataja


Yeah,well..

......and everybody knows well how CMG pays people well?

CMG paying people well?

Do really CMG knows anything about paying people well?


nick-young-confused-face.jpg


Hahahahah.....My ribs!
 
Haha! Jamaa umekomaa mpk nyuzi yote umebaki peke yako WWE wanaita last man standing
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech (corrected: Ifunda Tech) anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!

Hivi kile kipindi cha mikasi kilikuwa cha nani
 
Ukitaka uenjoy argument za Wyatt mkute kwenye uzi unamuhusu yule kijana wa Forex haha. Binafsi huwa namsoma na kupita kimya kimya tu.

Ya AY na nyumba yake hongera kwake kama kapiga hatua hiyo.
 
Mkuu,haijawahi tokea Tanzania hii AY kafanya shoo akapata 150mil!

Mkuu,show ya Diamond au Mr Nice,the most popular musician ever in TZ hawajawahi fikia bei hiyo kwa show!

AY is useless musically,AY kwanza hajamkutia MwanaFA kwa music,then hiyo idea ya 150mil ni uongo wa mchana peupe!

This makes AY look more stupid with these lies!

Na kuhusu kuwaleta EVE,FAT JOE,50 Cents,etc ni kazi ya Clouds Media group!

Leo AY hawezi wafundisha Clouds kazi ya kuleta wasanii nchini!Never!

Clouds ilianza kuleta wasanii nchini AY yuko Iyunga Tech (corrected: Ifunda Tech) anasema O Level hajui A wala B eti leo aje amfundishe Kusaga au Ruge jinsi ya kuleta wasanii wa America nchini!

Both Ruge na Kusaga lived in the US in 90's for nearly 10 years ndio wakarudi nchini kujenga mawingu..They are more connected to American artists and music agencies than anyone.

AY kabahatika kwenda USA ukubwani....who the f.uck is AY in music business mzee?

Kwanza AY anajua kuongea Kiingereza au mavi matupu?

Tusifanyane watoto kabisa!
Jibu qn zifuatazo
Ruge na Kusaga walienda US wakiwa watoto?
Je walipokuwa Us watajwa hapo juu walikuwa wakijihusisha na Music Industry?
Hv kwenda US ni bahati?
 
Ingekuwa ni chibudii chibudee ingekuwaje? Insta ingeiomba msamaha ila ndio hivy kila mtu na life style yake hongera Ay
Hivi unadhani watu walifahamu vipi kama AY amenunua nyumba US kama sip pic aliyoweka mwenyewe Instagram?!

Endeleeni kuamini huyu na yule hawana show-off kumbe hawana cha maana cha ku-show off!
 
Back
Top Bottom