AY: Nimetimiza ndoto yangu ya kuishi Marekani

OK,nimekupata Mkuu
Hebu nipe ABCs za kupata ramani ya kubeba box
Misingi bora, malengo mazuri, kujituma, kujua kinachotakiwa na kukitekeleza, kuwa mkweli na uwezo wako, kuomba kusaidiwa pale unapoona umeshindwa, kuwa na utashi, kuheshimu sheria za nchi, kutaka kuchangia katika uchumi, kujua kuishi na watu vizuri, kujiendeleza kielimu,na kuwa na pua ya kunusa kuwa katika sehemu inayotakiwa katika wakati unaotakiwa.
 
OK.....
So naanzaje kupata connection ya kazi hizo za kubeba box?
I mean start up
 
So its better nitafute admission ya chuo then mbele kwa mbele
Inabidi uwe na nia ya kusoma lakini, na uwe na uwezo wa kulipia pia, kwa sababu watakuuliza na kuangalia yote hayo.

Una umri gani? Umesoma mpaka wapi?Kwenye fani gani?

Vijana wadogo waliosoma mambo ya IT na wenye uwezo wa kufanya kazi na mifumo yenye teknolojia za juu sana wanahitajika sana Marekani.
 
OK
Am 31,nimesoma diploma ya medicine(clinical officer)
 
Na kwakuongeza jamaa ana hekari nyingi za mupnga Ifakara.
 
Hapo nimekupata vyema ...ni sawa sawa uambiwe ukienda kuishi dar iepuke tandale, manzese, na kigogo kwamba kule kuna robbery etc!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…