AY: Nimetimiza ndoto yangu ya kuishi Marekani

AY: Nimetimiza ndoto yangu ya kuishi Marekani

Hamna mkuu, kule ni shida huku wana wapo wengi hatubaguani, ila kule hata mtoto mdogo mzungu anaweza akakufanyia kitu na humgusi ukimgusa tu unaruka na jamii nzima, huku mtoto akikosea unamzaba kofi na akija baba yake unamwelezea naye anaenda kumzaba kofi
hahahaa akija baba yake naye"...........!?
 
Nimekaa sana na wajaulo wakanipiga msasa kwenye lugha ya kiluo.

Ni watu poa sana.
Long way back mzee wangu pesa yake aliipatia kwa wajaluo kule shirati so muda wote home nyimbo za kijaluo ikafikia kipindi ikabidi nimuunge mkono....

Hadi navyoongea kwa sasa ni mimi na nyimbo za hao jamaa halafu ni watu safi sana hawana shida kabisa....
 
Long way back mzee wangu pesa yake aliipatia kwa wajaluo kule shirati so muda wote home nyimbo za kijaluo ikafikia kipindi ikabidi nimuunge mkono....

Hadi navyoongea kwa sasa ni mimi na nyimbo za hao jamaa halafu ni watu safi sana hawana shida kabisa....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Aisee Ukipata Muda Sikiliza Migingo ya Atomi Sifa kuna dundo mle ambalo sio la kawaida.

Nimeishi sana huo ukanda Elimu yangu yote ya Msingi nimesoma huko.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Aisee Ukipata Muda Sikiliza Migingo ya Atomi Sifa kuna dundo mle ambalo sio la kawaida.

Nimeishi sana huo ukanda Elimu yangu yote ya Msingi nimesoma huko.
Tafuta ang'engo ya osogo na kuna moja inaitwa Alandlord na kanungo hatari sana Mkuu hapo unashushia na bia zako maisha yanakuwa murua kabisa.....

Ngoja nifanye kuingia google mkuu....
 
Niliwahi kukutana na Boss mmoja hivi ananiambia chimbuko lao ni Sudan na baadae wengine wakasambaa Afrika Magharibi, pamoja na huko Nigeria ila baadhi yao wakaja huku kwetu (E. Afrika).
Fanya hivyo Mkuu....

Inaonekana hawa ndugu zetu wajaluo wana uhusiano na wanaijeria maana kuanzia majina hadi sura wana correlate mkuu...
 
Back
Top Bottom