Ayatollah Khomen Anasena Israel ni Mtoto Mdogo Sana Mbele Ya Hezbullah

Ayatollah Khomen Anasena Israel ni Mtoto Mdogo Sana Mbele Ya Hezbullah

Yeye angeandaa msimamizi wa mirathi kabisa, ngoja afanye kufuga mindevu hapo kama libeberu atashitukia tu amazungukwa na mabikra 72 wenye macho kama mayai na wasioenda choo.
 

Attachments

  • Screenshot_20240118-211433.jpg
    Screenshot_20240118-211433.jpg
    534.6 KB · Views: 4
Yeye angeandaa msimamizi wa mirathi kabisa, ngoja afanye kufuga mindevu hapo kama libeberu atashitukia tu amazungukwa na mabikra 72 wenye macho kama mayai na wasioenda choo.
Amka usingizini huyo ndiye mbabe halisi wa mashariki ya kati.

Hakuna cha propaganda bali tunajionea live mwamba anavyoporomosha vyuma kuelekea Israel mara mbili bila majibu.

Leo Hezbollah wametuma ujumbe wa wazi kaba hakuna eneo hata moja ndani ya Israel ambalo hawawezi kulipiga.

Hakuna cha Iron dome wala THAAD ngoma imeenda hadi makazi ya Netanyahu bila kugundulika na mfumo wowote.

Sasa fikiria makazi ya waziri mkuu yanashambuliwa kirahisi hivi unadhani Hezbollah wakiwa serious kabisa si wanaondoka na kichwa cha Netanyahu wakati wowote licha ya kujificha mapangoni kama nguchiro.
 
Amka usingizini huyo ndiye mbabe halisi wa mashariki ya kati.

Hakuna cha propaganda bali tunajionea live mwamba anavyoporomosha vyuma kuelekea Israel mara mbili bila majibu.

Leo Hezbollah wametuma ujumbe wa wazi kaba hakuna eneo hata moja ndani ya Israel ambalo hawawezi kulipiga.

Hakuna cha Iron dome wala THAAD ngoma imeenda hadi makazi ya Netanyahu bila kugundulika na mfumo wowote.

Sasa fikiria makazi ya waziri mkuu yanashambuliwa kirahisi hivi unadhani Hezbollah wakiwa serious kabisa si wanaondoka na kichwa cha Netanyahu wakati wowote licha ya kujificha mapangoni kama nguchiro.
sasa kati ya ayatolah na netanyahu anayejificha mapangoni ni nani?
 
Amka usingizini huyo ndiye mbabe halisi wa mashariki ya kati.

Hakuna cha propaganda bali tunajionea live mwamba anavyoporomosha vyuma kuelekea Israel mara mbili bila majibu.

Leo Hezbollah wametuma ujumbe wa wazi kaba hakuna eneo hata moja ndani ya Israel ambalo hawawezi kulipiga.

Hakuna cha Iron dome wala THAAD ngoma imeenda hadi makazi ya Netanyahu bila kugundulika na mfumo wowote.

Sasa fikiria makazi ya waziri mkuu yanashambuliwa kirahisi hivi unadhani Hezbollah wakiwa serious kabisa si wanaondoka na kichwa cha Netanyahu wakati wowote licha ya kujificha mapangoni kama nguchiro.
Anatapatapa anajua zamu yake inakuja,Israel inajua adui zake sio raia wa Iran wala lebanon ndio maana inapambana na magaidi waandamizi cautiously.
 
Back
Top Bottom