Vita ni hesabu, unatumia anga kwa muda mrefu kupunguza za a za adui huku ukiua maka and a muhimu kwnzaNaona wanawamalizia 2 weeks no land advance
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita ni hesabu, unatumia anga kwa muda mrefu kupunguza za a za adui huku ukiua maka and a muhimu kwnzaNaona wanawamalizia 2 weeks no land advance
Hakuna wa muhimu wote ni makamanda wenye msimamo mmojaVita ni hesabu, unatumia anga kwa muda mrefu kupunguza za a za adui huku ukiua maka and a muhimu kwnza
Naona wanawamalizia 2 weeks no land advance
Wakiwa serious ina maana ni lini waliacha kuwa seriousAmka usingizini huyo ndiye mbabe halisi wa mashariki ya kati.
Hakuna cha propaganda bali tunajionea live mwamba anavyoporomosha vyuma kuelekea Israel mara mbili bila majibu.
Leo Hezbollah wametuma ujumbe wa wazi kaba hakuna eneo hata moja ndani ya Israel ambalo hawawezi kulipiga.
Hakuna cha Iron dome wala THAAD ngoma imeenda hadi makazi ya Netanyahu bila kugundulika na mfumo wowote.
Sasa fikiria makazi ya waziri mkuu yanashambuliwa kirahisi hivi unadhani Hezbollah wakiwa serious kabisa si wanaondoka na kichwa cha Netanyahu wakati wowote licha ya kujificha mapangoni kama nguchiro.
Waombe Haniyeh na Sinwar wakutumie.Una picha ya hao bikra 72 wenye macho kama mayai ?
Una picha ya hao bikra 72 wenye macho kama mayai?
Waliambiwa wataenda kwa Allah, sijui hawaoni wenzao njia wanazopitia kmfikia Allah wakashtuka? Ama upigwe bomu au ujilipue.Hawa wa huku sio waislam, bali ni watumwa. Hata ikitokea mechi kati ya nchi ya kiarabu(Misri) vsTanzania, waislam(watumwa) wa bongo watakuwa upande wa Misri🤣
View: https://youtube.com/shorts/ieBLRTPg-xE?si=Mf1qykB9kyqh8kt3
Ujumbe ndio huo leo kutoka kwa Ayatollah Khomen, asema Israel ni watoto sana mbele ya Hezbulla. Hawaiwezi Hezbullah. Hivi kuna kuna dharau kama hi tena.
Ayatollah anasema Israel lazima wakuze akili zao wasifikirie hata siku moja wanaiweza Hezbullah
Yaani ayotolah ajifiche mapangoni?
We chizi kwel
ISRAEL WAMEANZA KUMTAFUTA IRANI KITAMBO NA MUDA UMEWADIA HUYU AYATOLA AKAFAKAMIWE MAKALIONi plan Israel iko mbele 10 years wanawamalizia Hezbollah wanaanza kuwafanya makalio ya akina Hayatola
Ndo wafanye sasa..Amka usingizini huyo ndiye mbabe halisi wa mashariki ya kati.
Hakuna cha propaganda bali tunajionea live mwamba anavyoporomosha vyuma kuelekea Israel mara mbili bila majibu.
Leo Hezbollah wametuma ujumbe wa wazi kaba hakuna eneo hata moja ndani ya Israel ambalo hawawezi kulipiga.
Hakuna cha Iron dome wala THAAD ngoma imeenda hadi makazi ya Netanyahu bila kugundulika na mfumo wowote.
Sasa fikiria makazi ya waziri mkuu yanashambuliwa kirahisi hivi unadhani Hezbollah wakiwa serious kabisa si wanaondoka na kichwa cha Netanyahu wakati wowote licha ya kujificha mapangoni kama nguchiro.
We kobazi mkosa akili acha matusi ukitukanwa utakuja chukia watu bureHuu upumbavu sijui mnautoa wapi,tatizo mnaishi kwenye giza la kiakili na mmefunikwa na blanketi la kufikirishwa na kuvizwa akili hadi mkawa mazuzu.Pole yako na chuki zako