Ayatollah Khomen Anasena Israel ni Mtoto Mdogo Sana Mbele Ya Hezbullah

Ayatollah Khomen Anasena Israel ni Mtoto Mdogo Sana Mbele Ya Hezbullah

Hivi ninyi mayahudi na waarabu wa Buza mna shida gani? Mnadhani vita ni sawa na kula maandazi ya Azam au kunywa Mo energy na kuadvance chooni kujisaidia?

Naona mnashabikia sana vita hata hamjui watu wanakufa, kuna wazee watoto, wanawake wajawazito, wagonjwa.

Ninyi mnashabikia kuadvance badala ya kuweka maombi vita iishe watu warudi kwa maisha ya kawaida.

Hizo dini zenu zinazowahamasisha kumwaga damu katika fikra zenu ni upumbavu waarabu na mayahudi wa kwa Bibi nyau nyie
Naona wanawamalizia 2 weeks no land advance
 
Amka usingizini huyo ndiye mbabe halisi wa mashariki ya kati.

Hakuna cha propaganda bali tunajionea live mwamba anavyoporomosha vyuma kuelekea Israel mara mbili bila majibu.

Leo Hezbollah wametuma ujumbe wa wazi kaba hakuna eneo hata moja ndani ya Israel ambalo hawawezi kulipiga.

Hakuna cha Iron dome wala THAAD ngoma imeenda hadi makazi ya Netanyahu bila kugundulika na mfumo wowote.

Sasa fikiria makazi ya waziri mkuu yanashambuliwa kirahisi hivi unadhani Hezbollah wakiwa serious kabisa si wanaondoka na kichwa cha Netanyahu wakati wowote licha ya kujificha mapangoni kama nguchiro.
Wakiwa serious ina maana ni lini waliacha kuwa serious
 

Attachments

  • Screenshot_20240929-190914.jpg
    Screenshot_20240929-190914.jpg
    439.4 KB · Views: 2
Hawa wa huku sio waislam, bali ni watumwa. Hata ikitokea mechi kati ya nchi ya kiarabu(Misri) vsTanzania, waislam(watumwa) wa bongo watakuwa upande wa Misri🤣
Waliambiwa wataenda kwa Allah, sijui hawaoni wenzao njia wanazopitia kmfikia Allah wakashtuka? Ama upigwe bomu au ujilipue.
 
Tulivyokuwa watoto tulikuwa tunapiganishwa sana na wajinga kama Ayatollah.. unawekewa mchanga unaambiwa puta au unamdai mtu ng'ombe kiuzushi akishindwa ni ngumi tu zinapiganwa.. Ayatollah ni zaidi ya Iblis
 
Ni plan Israel iko mbele 10 years wanawamalizia Hezbollah wanaanza kuwafanya makalio ya akina Hayatola
ISRAEL WAMEANZA KUMTAFUTA IRANI KITAMBO NA MUDA UMEWADIA HUYU AYATOLA AKAFAKAMIWE MAKALIO
 
Amka usingizini huyo ndiye mbabe halisi wa mashariki ya kati.

Hakuna cha propaganda bali tunajionea live mwamba anavyoporomosha vyuma kuelekea Israel mara mbili bila majibu.

Leo Hezbollah wametuma ujumbe wa wazi kaba hakuna eneo hata moja ndani ya Israel ambalo hawawezi kulipiga.

Hakuna cha Iron dome wala THAAD ngoma imeenda hadi makazi ya Netanyahu bila kugundulika na mfumo wowote.

Sasa fikiria makazi ya waziri mkuu yanashambuliwa kirahisi hivi unadhani Hezbollah wakiwa serious kabisa si wanaondoka na kichwa cha Netanyahu wakati wowote licha ya kujificha mapangoni kama nguchiro.
Ndo wafanye sasa..
 
Anapumulia mashine, wakati wowote tutasema R.I.H Ayatollah
 
Huu upumbavu sijui mnautoa wapi,tatizo mnaishi kwenye giza la kiakili na mmefunikwa na blanketi la kufikirishwa na kuvizwa akili hadi mkawa mazuzu.Pole yako na chuki zako
We kobazi mkosa akili acha matusi ukitukanwa utakuja chukia watu bure
 
Back
Top Bottom