Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Hauna jipya looser.. Tafuta pesa !!Endelea kufuatilia humu humu nitawaletea sana taarifa uzombi wa kidini...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauna jipya looser.. Tafuta pesa !!Endelea kufuatilia humu humu nitawaletea sana taarifa uzombi wa kidini...
Huenda alikuwemo kwenye mazungumzoKama ni mazungumzo ya Siri wewe umejuaje?
Kama Mungu aliwapa hiyari ya kuchagua akina Adam na Hawa, wewe ni nani uwapangie watu namna ya kuishi, hawa viongozi kulazimisha watu kwa kanuni za dini tena ambayo hata hawakushushiwa wao ni upuuzi.Wairan wamechoka na magaidi...dini isiwe utumwa bali iwe hiyari ya mtu.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Naaaam, aendelee tu kuchochea moto.Hakuna vita ngumu kwa serikali km kushindana na wananchi wake. The US wanachokifanya ni kukoleza kuni tu ili moto usizime
Hakuna namna zaidi ya kukubali matakwa ya wananchi tu.Jana niliona rais wao akiongea na wanafunzi wa chuo sijui Tehran kwa upole sana akisema...kuandamana sio vibaya lakini kuandamana na fujo sio sawa
Jibu murua kabisa.Mbona usizilete wewe, mimi nimejikita kuleta za ujuha wenu, wewe leta za wazungu.
TakbiiiirrrrrYenu ni mengi au tuleta habari zako za upinde wa mvua?? Huna kazi ya kufanya ...Huko kwenu hamna majukwaa kama haya .
Aina ya watu kama nyie ni mambumbumbu kabisa huko kwenu ukabila kibao sasa unakuja huku kuleta ushamba wao..
Uliona wapi mjanja akatokea kwenu? Ushamba tu!!
Hizo ni propaganda za west ili kufanya machafuko yazidi Iran...kwa kuwa waandamanaji watajua wanakaribia kumwondoa huyo kiongozi hivyo kuzidisha nguvu. Hata sisi hapa tz tunajiandaa kuondoa hii takataka ya chooni Chama Cha Mambuzi na mambo yanakwenda vizuri maana wanajipalizia moto wenyewe kwa kupandisha gharama za maisha,tunasubir wapandishe umeme tukinukishe.Kwa mlivyo, huwa hamjui kuficha siri...mnaumbuka ghafla.
Ipo IraqiQatar wameshangalia USA wanasema tuko pamoja na USA.
Halafu hii Iran si Ni nchi yenye history kubwa mno hata kwenye biblia. Ivi ndipo Eden garden ilipo.ile mesopatamia iko wapi ivi.
Mbona we CCM inakupangia namna ya kuishi?Kama Mungu aliwapa hiyari ya kuchagua akina Adam na Hawa, wewe ni nani uwapangie watu namna ya kuishi, hawa viongozi kulazimisha watu kwa kanuni za dini tena ambayo hata hawakushushiwa wao ni upuuzi.
Na kote anafanikiwa, hata sehemu watu wanazosema kuwa amefeli tazama jinsi alivyokuharibu.Mmarekani mbaya sana,aliwavuruga walibya mpaka sasa hawako sawa kaingia na iran sasa,watakuja kujutia baadae hiki wanachokifanya,time will tell
Allah Akbar!!Takbiiiirrrrr
Mpuuzi huyo ili iran ikae sawa huo utawala lazima upigwe chini.Jana niliona rais wao akiongea na wanafunzi wa chuo sijui Tehran kwa upole sana akisema...kuandamana sio vibaya lakini kuandamana na fujo sio sawa
Taifa teule likiacha upuuzi wa dini ya mudi.
Zilete baba zileteee, wasikuzingue wavaa kobazBasi tulia hapo kama umeshindwa kuzileta, tutawaletea za maushetwani ya hiyo dini yenu mpaka mkome...
Huyu Jamaa sijui habari zake anazipika kwa Gesi!?maana za moto hasa!!!!!Mzigo huo hapoView attachment 2439361
Sasa hiyo siri iko wapi kama hata wewe unajua kinachoendelea?Mazungumzo ya siri yanaendelea kwa Venezuela kuwa tayari kupokea viongozi wa Iran kama vurugu zikipitiliza...