Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
ImevujaKama ni mazungumzo ya Siri wewe umejuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ImevujaKama ni mazungumzo ya Siri wewe umejuaje?
Yule ni shia akikimbilia suni wanamla kichwa fasta.Kwann wasikimbilie kwa waarabu wenzao
Eden ipo Afrika. Afrika ndo asili ya binadamu.Qatar wameshangalia USA wanasema tuko pamoja na USA.
Halafu hii Iran si Ni nchi yenye history kubwa mno hata kwenye biblia. Ivi ndipo Eden garden ilipo.ile mesopatamia iko wapi ivi.
Ni hatua mapitio ktk ustaarabu wa binadamu. Hata Wakatoliki walimpigania Mungu wa Wakristo kwa zaido ya miaka 1260 kutoka karne ya 6 hadi karne ya 18. Waliua mamiliini ya watu waliokuwa wanaupinga Ukatoliki.Na hapa ndipo nashindwa kuulewa uislamu. Inakuwaje unampigania Mungu ambaye ana uwezo wa kushawishi watu wamwamini bila kutumia nguvu kubwa namna hii?
Na kama walifanya hivyo ni ujinga kama ujinga mwingine. Sisi waprotestant hatuamini kwamba vita vya Mungu wetu ni kwa jinsi hiyo ila tunaamini zaidi katika kushawishiNi hatua mapitio ktk ustaarabu wa binadamu. Hata Wakatoliki walimpigania Mungu wa Wakristo kwa zaido ya miaka 1260 kutoka karne ya 6 hadi karne ya 18. Waliua mamiliini ya watu waliokuwa wanaupinga Ukatoliki.