Aysenur Ezgi, Mmarekani, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi kichwani na Wanajeshi wa Israel

Aysenur Ezgi, Mmarekani, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi kichwani na Wanajeshi wa Israel

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
51,303
Reaction score
40,190
Wanakumbi.
Screenshot 2024-09-06 192036.png
Aysenur Ezgi, Mmarekani mwenye hadhi ya Uturuki, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi kichwani na wanajeshi wa Israel katika mji wa Beita.

Aysenur alipigwa risasi kichwani alipokuwa akishiriki maandamano ya kupinga upanuzi wa makazi.

Je Joebiden ataitisha mkutano wa baraza la mawaziri kwa ajili yake?

===================
Aysenur Ezgi, an American of Turkish decent, has died after being shot in the head by Israeli soldiers in the town of Beita. Aysenur was shot in the head while participating in protests against settlement expansion.Will
@JoeBiden convene a cabinet meeting for her?
 
Wanakumbi.

Aysenur Ezgi, Mmarekani mwenye hadhi ya Uturuki, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi kichwani na wanajeshi wa Israel katika mji wa Beita.

Aysenur alipigwa risasi kichwani alipokuwa akishiriki maandamano ya kupinga upanuzi wa makazi.

Je Joebiden ataitisha mkutano wa baraza la mawaziri kwa ajili yake?


View: https://x.com/smohyeddin/status/1832033266192515294?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw

Hakuna ushahidi wowote wa aliempiga risasi, kwanini urukie conclusion bila ushahidi

Kuna uwezekano wa asilimia 90 ni Hamas wamemtandika risasi kwajili ya kupost video mtandaoni, hawa wadudu hawajali maisha ya watu, waliua na kuteka wamarekani kwenye tukio la October 7
 
Hakuna ushahidi wowote wa aliempiga risasi, kwanini urukie conclusion bila ushahidi

Kuna uwezekano wa asilimia 90 ni Hamas wamemtandika risasi kwajili ya kupost video mtandaoni, hawa wadudu hawajali maisha ya watu, waliua na kuteka wamarekani kwenye tukio la October 7
Wewe hujui lolote West Bank kuna Hamas?
 
Wanakumbi.
Aysenur Ezgi, Mmarekani mwenye hadhi ya Uturuki, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi kichwani na wanajeshi wa Israel katika mji wa Beita.

Aysenur alipigwa risasi kichwani alipokuwa akishiriki maandamano ya kupinga upanuzi wa makazi.

Je Joebiden ataitisha mkutano wa baraza la mawaziri kwa ajili yake?

===================
Aysenur Ezgi, an American of Turkish decent, has died after being shot in the head by Israeli soldiers in the town of Beita. Aysenur was shot in the head while participating in protests against settlement expansion.Will
@JoeBiden convene a cabinet meeting for her?
Yaani huyu inaelekea kwenye mandamano ya wajinga kule US aliona hayatoshi kaamua kupanda ndege hadi Israel aandamane vizuri aonekane.. R.I.P Ataenda kumueleza vizuri Allah kuwa hasomi Quran ambayo Allah kasema Ardhi ni Ya Wayahudi hadi Kiama.. Peponi huko atamuambia Allah wewe Mjinga sana tunaandamana na kukusifia lakini unawajali Wayahudi tu na ulisema umewapendelea
 
Back
Top Bottom