Aysenur Ezgi, Mmarekani, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi kichwani na Wanajeshi wa Israel

Aysenur Ezgi, Mmarekani, amefariki dunia baada ya kupigwa risasi kichwani na Wanajeshi wa Israel

Wewe shoga mzee umesema hivi HAMAS walibuka washindi kwa kupata 56% ya viti vote huku Fatah, kilichokuwa chama tawala kikiambulia 34% ya viti vote.

Kwa hiyo idadi ya viti 74 na Fatah 45 umeeleza wewe😀

Utakuwa upo kwenye peroid unaharisha.

Palestina kuna viti 131 hivyo viti vingine unajua vya nani wewe shoga mzee au navyo umesema wewe😀
Sijui kama hata wewe unakielewa hiki ulichokiandika
 
Mm nilijua ni mmarekani wa kuzaliwa kumbe niwa kupewa.
 
Waarabu wa Buza Kwa mparange wamecharuka😁😁 mpaka wanatukana matusi mazito kisa wapalestina, beba silaha ukawasaidie, we hujiulizi kwanini Waarabu wenzao hawawasaidii
 
Mkuu twende taratibu tunajadili sote pia tupunguze kutukanana.
Huwenda ukawa sahihi upande mmoja ama upande mwingine.
Sasa tujuze uwepo unaouzungumzia ni kijeshi,kichama ama ideology??
Huyo upinde hajui lolote atakupasua kichwa hajui hata Palestina kulikuwa ni viti vingapi kwenye uchaguzi wao namtumia idadi ananiuliza unafahamu ulichoandika anakuwambia Hamas wapo West Bank lakini asemi wapo mji gani😀
 
Waarabu wa Buza Kwa mparange wamecharuka😁😁 mpaka wanatukana matusi mazito kisa wapalestina, beba silaha ukawasaidie, we hujiulizi kwanini Waarabu wenzao hawawasaidii
Yahudi jeusi la MAKWENJE linatoa tamko😀
 
Yahudi jeusi la MAKWENJE linatoa tamko😀
Bora wayahudi Wana thamani wakifa wawili tu kelele inapigwa, Ukraine vita ilivyoanza walipokewa ulaya, wapalestina wameuliwa elf 40+ na hamna anayejali hata Waarabu wenzao wako kimya, ila Waarabu wa kisemvule makelele kibao
 
Back
Top Bottom