Azam anapita njia ngumu CAFCL, atatoka hatua ya awali

Azam anapita njia ngumu CAFCL, atatoka hatua ya awali

Nimecheki game ya coastal aise yani wamecheza utumbo kabisa.

Kwanza hawana stamina wanaangukaanguka hovyo uwanjani .game plan mbovu huoni wakitafuta goli japo kunamuda kipindi cha pili walitulia kidogo wakaanza kutafuta goli ila sasa wakajisahau wakapigwa cha tatu.

Kiufupi hao wameenda kuliaibisha taifa hakuna lolote wao warudi waendelee kumkamia simba tu .
 
Azam wana team nzuri, wamemsajili vizuri sana, nilidhani watafuzu hizi hatua ila kila nikiangalia naona anaangukia pua

Azam hatua ya awali wamepangwa na mbambe APR ya Rwanda, hii ni team ngumu haswa, wana uchumi mzuri, wana wachezaji wakubwa hasa.

Kuna yule Mghana na dogo Fulani beki ni wachezaji wazuri mno,

Azam wanaanzia nyumba ambapo hawana nguvu ya mashabiki hapo ARR watakuwa comfortable kupiga kandanda, na baadae wanatenda kumalizana Rwanda hapa Azam wanatoboa vipI?

Wakitoka hapo wanatenda kukutana na Pyramid matajiri wa Misri team ya Mayele, hapo ndo ya makundi wataisikia kwenye redio

Azam nawapa pole mapema
Hata Simba na Yanga zilianza hivyo.

Wanatakiwa kujitafuta sana
 
Nimecheki game ya coastal aise yani wamecheza utumbo kabisa.

Kwanza hawana stamina wanaangukaanguka hovyo uwanjani .game plan mbovu huoni wakitafuta goli japo kunamuda kipindi cha pili walitulia kidogo wakaanza kutafuta goli ila sasa wakajisahau wakapigwa cha tatu.

Kiufupi hao wameenda kuliaibisha taifa hakuna lolote wao warudi waendelee kumkamia simba tu .
Halafu ile timu waliocheza nayo ni timu ya hovyo tu.
Coastal hawana mbinu za kucheza ugenini kabisa yani.
 
Azam wana team nzuri, wamemsajili vizuri sana, nilidhani watafuzu hizi hatua ila kila nikiangalia naona anaangukia pua

Azam hatua ya awali wamepangwa na mbambe APR ya Rwanda, hii ni team ngumu haswa, wana uchumi mzuri, wana wachezaji wakubwa hasa.

Kuna yule Mghana na dogo Fulani beki ni wachezaji wazuri mno,

Azam wanaanzia nyumba ambapo hawana nguvu ya mashabiki hapo ARR watakuwa comfortable kupiga kandanda, na baadae wanatenda kumalizana Rwanda hapa Azam wanatoboa vipI?

Wakitoka hapo wanatenda kukutana na Pyramid matajiri wa Misri team ya Mayele, hapo ndo ya makundi wataisikia kwenye redio

Azam nawapa pole mapema
Azam atawapiga APR na Pyramid, zote hazitishi kivile.
 
Azam atakwama Kwa APR huko pyramids ni mbali
Mkuu umekomalia sana Azam kutolewa na APR, sijui kisa Azam kufungwa na Yanga au vipi ndio uwabeze Azam. Azam anapita kwa APR labda iwe APR nyingine tofauti na ile niliyoiona ikicheza na Simba
 
Azam wana team nzuri, wamemsajili vizuri sana, nilidhani watafuzu hizi hatua ila kila nikiangalia naona anaangukia pua

Azam hatua ya awali wamepangwa na mbambe APR ya Rwanda, hii ni team ngumu haswa, wana uchumi mzuri, wana wachezaji wakubwa hasa.

Kuna yule Mghana na dogo Fulani beki ni wachezaji wazuri mno,

Azam wanaanzia nyumba ambapo hawana nguvu ya mashabiki hapo ARR watakuwa comfortable kupiga kandanda, na baadae wanatenda kumalizana Rwanda hapa Azam wanatoboa vipI?

Wakitoka hapo wanatenda kukutana na Pyramid matajiri wa Misri team ya Mayele, hapo ndo ya makundi wataisikia kwenye redio

Azam nawapa pole mapema
Sasa ili wawe walubwa wanapaswa kuwaomdoa hao wapinzani
 
Mkuu umekomalia sana Azam kutolewa na APR, sijui kisa Azam kufungwa na Yanga au vipi ndio uwabeze Azam. Azam anapita kwa APR labda iwe APR nyingine tofauti na ile niliyoiona ikicheza na Simba
Wewe unachukulia Simba poa
Simba ni team nzuri kuliko Azam
Na Simba wakiifunga APR sio kinyinge na kumbuka Ile ilikuwa bonanza
 
Nimecheki game ya coastal aise yani wamecheza utumbo kabisa.

Kwanza hawana stamina wanaangukaanguka hovyo uwanjani .game plan mbovu huoni wakitafuta goli japo kunamuda kipindi cha pili walitulia kidogo wakaanza kutafuta goli ila sasa wakajisahau wakapigwa cha tatu.

Kiufupi hao wameenda kuliaibisha taifa hakuna lolote wao warudi waendelee kumkamia simba tu .
Coastal Union ni kama wamelazimishwa tu kushiriki hayo mashindano.

Wamekivuruga kikosi chao baada ya msimu kumalizika! Mpaka muda huu haijulikani golikipa wao namba moja Ley Matampi alipo!! Hovyo kabisa.
 
Back
Top Bottom