Fei hakufata utaratibu wa kuhama lakini alihamishwa, bei ya fei haikuwa 100m lakini aliondoka.
Azam inaiandama yanga haijulikani kwanini, au pengine Azam inaisaidia Simba kwenye mambo yake.
Azam imehusika na masakata ya yanga kama vile Obre Chirwa, Donald Ngoma, kavumbagu, Ngasa, Sure Boy, Fei, Litombo na wengine wengi kwa lengi ya kuihujumu na kuidhoofisha Yanga. Dube atapata shida kuondoka pale kama akibainika anataka kwenda Yanga. Hii ndio inayosababisha Azam kuboronga kwenye kandanda pamoja na uwekezaji wake mkubwa.
Tobo alilopitishiwa Fei kwenda Azam "lazima" litumike kumpitisha Dube kwenda anakotaka kwenda, maana scenarios zao zinafanana, wote hawana raha kwenye timu zao.