Mr Antidote
JF-Expert Member
- Jan 11, 2015
- 953
- 1,304
Azam wameniangusha leo. Wamewapa hawa jamaa tiketi ya kupanda ndege mwakani. Hapa hata Yanga wakishinda vikombe vyote itabidi wawaachie nafasi moja coz watakua wapili kwenye ligi.
Anyway kila la heri vijana wa msimbazi manake sio kwa kusugua namna hiyo.
Anyway kila la heri vijana wa msimbazi manake sio kwa kusugua namna hiyo.